Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Yaani nilikuta mdogo wangu kaoa kichochoroni nilimtia makofi na kichamboo hana hamuu!!Kwa kweli ndugu wa mume wengi ndivyo tulivyo, kasoro mimi[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nilikuta mdogo wangu kaoa kichochoroni nilimtia makofi na kichamboo hana hamuu!!Kwa kweli ndugu wa mume wengi ndivyo tulivyo, kasoro mimi[emoji38][emoji38][emoji38]
Yaani nilikuta mdogo wangu kaoa kichochoroni nilimtia makofi na kichamboo hana hamuu!!
Kwan ww ni malaika?Kwa kweli ndugu wa mume wengi ndivyo tulivyo, kasoro mimi[emoji38][emoji38][emoji38]
Siteteagi upuuzi Mimi vitu km hvyo sio vzr kuintatein ,kama wanafanya wafanye hukoo nisione!Hongera binamu kwa kweli, madada wengi ndiyo tunahusika kuwasindikiza makaka zetu upotevuni
Yaani nilikuta mdogo wangu kaoa kichochoroni nilimtia makofi na kichamboo hana hamuu!!
Hongera binamu kwa kweli, madada wengi ndiyo tunahusika kuwasindikiza makaka zetu upotevuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Wadada wa kibongo ni issue sana kuwa nao katika mawasiliano, yaani wengi wao hawajitambui hata kidogo. Huyu Catherine si ni mbunge huyu na mtunga sheria, ona sasa anavyofanya mambo ya kijinga hadharani. Alikuwa nyumba ndogo ya Mh. Kagasheki, akamtema na sasa anaingilia ndoa ya mwanamke mwenzake. Very useless.
Hivi hawezi kukamatwa huyu na kupewa mwanamme wa kumuoa kwa lazima ili atulizane akili? Mh. Ndugai kanuni za kibunge zinasemaje kuhusu mbunge kicheche anayelazimisha kuolewa?
Duhh!!hahahah!nooomaAkachemsha ,akamtaliki.
Alikuwa mke wa pili.
Anapewaje ubunge MTU km huyuu!nasikia ashapigana na mwenzie kisa NNnauye
Umeona CCM tu je Chadema hao wa viti maalumu ni wanaume niniHivi hawa wanawake wanaopewa viti Maalum huko CCM wanapatikanaje , mbona huyu Catherine Magige haonekani kuwa na hadhi ya ubunge ? Anagombea maiti ya Mume wa mtu ili iweje ?
Kuna video inazunguka huko mitandaoni hadi aibu , nitajaribu kuidukua ili mjionee wenyewe .
Kwan ww ni malaika?
Mimi tulikosana kabisa na mawasiliano yakaisha kwa miaka miwili,leo hii huwa ananishukuru kuwa niliinusuru ndoa yake,maana mke wake alihold on kwa kuona Mimi na Mama tumesimama nae,Kaka yangu akapuyanga wee mwisho wa siku amekuja tulia na Mke wake wa Ndoa.
Yani acha kabisa,tena unakuta tunasifia upande wa mchepuko kisa tu unapewa vijizawadi vidogo vidogo bila kujua unaharibu future ya ndugu yenu.
Si kushindwa tu bali na kulegea piaHawa ndugu zetu huwa wanahangaika weeee ila wakishafulia na afya mgogoro ndiyo wanakumbuka wake zao wa ndoa. Washindwe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yupo kwenye list ndio hadi dada zangu,wewe una ndoa tayari au ni mganga njaa kama Kase?
Wakawaida hana mtaro mkubwa mbona.....Chombo ya fundiView attachment 1799806
udhalimu wa mchana kweupeHapo tatizo sio kuzika tatizo ni kutambulika kwenye MIRATHI.
Pesa Pesaa
Uliona vile alivyofura kwa hasira, na kutoa shada aliloweka Catherine akalitupa nje huko, [emoji23][emoji23][emoji23]Nenda kwa Lemutuz kachukua full clip...yule mke nae anaonekana mshari asee ndo maana jamaa alimkimbia[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule mama alitupa shada lililowekwa na Catherine lolmke mpole sana yule
mi ningemrukia huyo cathe nijifanye kichaa cha msiba
Duuuuuh tobaaaah wee, lolNi mchumba wake na Pete kavishwa...na kakaa nae 2 yrs toka 2018
Sema Cat alizubaa sana ilitakiwa hiyo divorce iwe imeshatoka mapema sana, ndo imekula kwake, na kama alikuwa anafanya nae investments zozote sijui mwanaume anaandika majina yake.....hiyo ndo nitolee wife analamba vyotee maninaaa[emoji134]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app