Dah.. mkuu umeninyong'onyeza sana. Kwahiyo kumbe sisi wanaume tusio na kisu sio wanaume halisi..?🙄Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga
Weka picha ya magige.. nijue tatizo lake
Si ameolewaCatherine Magige mkimyaaa mwenyewe..... na hajawahi ishiwa na matukio ya mahusiano
Mna masumbuko.Hivi mitala na Kagasheki iliishia wapi?
Kwan umri huo anakua na ule ute1. M
2. Then K
3. Then S
4. Then M
5. Then C
6. Then the late
Hapo hatujahesabu one night stand
Hivi mwanamke akiwa na miaka 55 anapaswa awe ametembea na wanaume wangapi?
Mkuu ww mwenyewe wajua...kwan uongo?
Na ile rangi nyeupe.Mwendazake hajawahi piga?
😀😀! Tukaze tuDaaah.... ni kweli mkuu. Ndio hasa kinachoninyong'onyeza zaidi. Ila one day yes.😒
Eti jamani aziza alifumaniwa ana msg akisifia jinsi alivyoliwa mpalange ni kweli?
Hivi mitala na Kagasheki iliishia wapi?
Sawa.Si kweli mwaya. Ni huyo kurumbembe ndio anamchafua mwenzie kuhalalisha alichokifanya.
Si ameolewa
Sasa hapa sijui nafanyaje! Na ndiyo nimeshafika, ngoja tu nitulie.
Wanaume wenye mahawara wanapaswa kujua madhira wanayowasababishia watoto na wake zao baada ya kufa. Ni aibu na ujinga mtupu ukiachia mbali ubinafsi. Angekuwa anafaa si angemuoa badala ya kumweka kinyumba.Msiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.
Marehemu Madoda amezikwa leo katika shamba lake eneo la Nduruma,ambapo katika mazishi hayo yaliyoratibiwa na ndugu wa marehemu Magige hakutakiwa kuingia kaburini na wapambe wake baada ya familia hiyo kueleza kwamba watakao ingia kaburini ni wachache.
Hata hivyo Mbunge Magige akiwa na kundi lake aliamua kuvamia kwa kuvunja lango la kuingilia ndani ya shamba Hilo na kufanikisha kushiriki mazishi kwa kuweka shada la maua kaburini.
Watu walipokuwa kwenye kaburi walijawa na taharuki kuona Mbunge huyo akiongoza kundi la wanawake kuingia ndani ya shamba ambako mwili wa marehemu ulizikwa.
Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.
Marehemu ameacha watoto watatu wa mke wake wa ndoa Aziza Msuya aliyefunga naye ndoa ya kikristu mwaka 2003mjini Dodoma.