Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Kwamba mume aligoma kuendelea na talaka na sio kwamba alitoa talaka ijumaa kama ninavyosikia?

Hapana siku hiyo ndiyo alikataa rasmi kuwa hana nia ya kutoa talaka,na inasemekana ni moja ya sababu ilimuudhi “mchumba” akaamua na kusepa zake kwenda Dodoma huku akimwacha akiwa ktk hali ya kuumwa,amefariki “Mchumba “ akiwa njiani ndiyo maana Marehemu aliomba aitiwe Mke wake wa Ndoa.
 
Kuna interview ya dada ake marehemu, amesema alipata cardiac arrest
Sijui ndugu yangu na mimi nasoma tu habari zake humu mitandaoni,kuna Member mmoja huku juu anasimulia alikuwepo Hospital wakati Marehemu anapelekwa hapo Hospital na akamuona akitoka kwa gari anatembea lakini kwa kupepesuka
Eeh na dada mtu kasema watu waende mahakamani wakaone kama kuna talaka imetolewa + hakuna cha uchumba labda tu pete za kuvalishana vichochoroni. Ila huyu wifi si ndiyo alikuwa anamsifia wifie Cathy huko mitandaoni?
Hapana siku hiyo ndiyo alikataa rasmi kuwa hana nia ya kutoa talaka,na inasemekana ni moja ya sababu ilimuudhi “mchumba” akaamua na kusepa zake kwenda Dodoma huku akimwacha akiwa ktk hali ya kuumwa,amefariki “Mchumba “ akiwa njiani ndiyo maana Marehemu aliomba aitiwe Mke wake wa Ndoa.
 
Zile hasira na vurumai za kuvunja gate na makelele na vurugu na vitisho vya Catherine kumbe ilikuwa ni kwa ajili ya kuweka shada tu 😀😀😀😀😀😄😄😄😄😄😄 ila catherine ametumia nguvu nyingi sana kuwasilisha shada lake . Sijui kwa nini ? Michepuko wana nguvu sana msiwa underestimate jamani wooooiiii. Arusha yetu kiboko
 
Ukipata mchepuko Kama huyo Mrs Raha sana. Hawezi kukuambia umnunulie makochi au friji.
Gharama yako beer na gesti tu. Mume bwege atalisha na kulipa bili zote
Naoana anajilisha mwenyewe maana mumewe ni mtu mzito lkn yeye naona anajifanya madili anauajua na udalali juu wa vyumba na nyumba wkt kipindi kile alikuwa very classic lady.
 
Kuna interview ya dada ake marehemu, amesema alipata cardiac arrestEeh na dada mtu kasema watu waende mahakamani wakaone kama kuna talaka imetolewa + hakuna cha uchumba labda tu pete za kuvalishana vichochoroni. Ila huyu wifi si ndiyo alikuwa anamsifia wifie Cathy huko mitandaoni?

Umesahau tabia za Mawifi,walikuwa wanamg’ong’a tu kipindi kaka yao yuko hai,sasa hivi ndiyo anaona hali halisi kuwa walikuwa wanamchukulia kama mpita njia tu. Nashindwa kabisa kuelewa huyu Magige hana Wazazi au Watu wazima ambao wangeweza kumshauri jana. Kama pana blunder amefanya kubwa ni jana.
 
Kuna interview ya dada ake marehemu, amesema alipata cardiac arrestEeh na dada mtu kasema watu waende mahakamani wakaone kama kuna talaka imetolewa + hakuna cha uchumba labda tu pete za kuvalishana vichochoroni. Ila huyu wifi si ndiyo alikuwa anamsifia wifie Cathy huko mitandaoni?
Mnaafiki sana huyu Wifi kuna baadhi ya ndugu wa wanaume ni washenzi sana!!yaani huyu mama akae kwa macho manne hao ndugu ni vimeo vitupu
 
Hahahaa yule wifi ni kiboko aisee, anavyoongea kwa dharau sasa mweeh. Itakuwa walichokuwa wanakitaka kwa Cathy hawajakipata so akaona tu arudishe majeshi kwa mama mjengo. Kwa kweli amekosa mshauri, au ameshauriwa akagoma; si hakutaka aonekane ameshindwa
Umesahau tabia za Mawifi,walikuwa wanamg’ong’a tu kipindi kaka yao yuko hai,sasa hivi ndiyo anaona hali halisi kuwa walikuwa wanamchukulia kama mpita njia tu. Nashindwa kabisa kuelewa huyu Magige hana Wazazi au Watu wazima ambao wangeweza kumshauri jana. Kama pana blunder amefanya kubwa ni jana.
 
Umesahau tabia za Mawifi,walikuwa wanamg’ong’a tu kipindi kaka yao yuko hai,sasa hivi ndiyo anaona hali halisi kuwa walikuwa wanamchukulia kama mpita njia tu. Nashindwa kabisa kuelewa huyu Magige hana Wazazi au Watu wazima ambao wangeweza kumshauri jana. Kama pana blunder amefanya kubwa ni jana.
Wakurya wabishi sanaaa tena mnoooo
 
Ahaaaa mme wa mtu sumu, nimekumbuka mdada alofiwa na sponsor. Alilia kwa uchungu alitinga msibani na timu yake mzima, mara gari la vinywaji na likafika, michele na mazagazaga kama yote.

Msibani watu wote macho kwa yule dada.sijawahi ona dada mwenye msimamo kama ule.
Alikuwa ni mchepuko ila wanaukoo wengi walikuwa wakimjua.
Yaan raha ya sponsor awe na hela, maana mchepuko ule ulitia pesa kila kitu chenye kasoro kilirekebishwa pale pale.

Marafiki wa marehemu nao walimpa nguvu mchepuko. Mafundi wa kujenga kaburi wakaletwa wapya. Watu wote walishika mdomo.

Mke mkubwa kimyaa hakusema chochote. Ile timu ta mchepuko na sare zao sasa mmmh.!!!!!!

Ni miezi 7 tangu mme wa mchepuko afe ila kila weekend mchepuko anaenda nyumbani kwa marehemu anasafisha kaburi, anapulizia perfume,maua na anaondoka.

Pesa ina nguvu nyie!!!!

Sema yeye hakuleta fujo.aligharamikia nsiba wote.kila kitu.
Kwahiyo alikuwa anaona ufahari kuitwa mjane[emoji25][emoji25][emoji25]
 
Kuna interview ya dada ake marehemu, amesema alipata cardiac arrestEeh na dada mtu kasema watu waende mahakamani wakaone kama kuna talaka imetolewa + hakuna cha uchumba labda tu pete za kuvalishana vichochoroni. Ila huyu wifi si ndiyo alikuwa anamsifia wifie Cathy huko mitandaoni?
Katiba ya UMOJA WA MAWIFI NA MASHEMEJI TZ (UMMT)
Sura ya kwanza, sehemu ya pili ibara ya 8: shemeji/wifi anatakiwa kusifia na kumuunga mkono kila mpenzi anaetoka/ atakaetoka kimapenzi na ndugu yao pasipo kujari huyo mtu kama anadanganywa au anapendwa kweli.
 
Kwa kweli ndugu wa mume wengi ndivyo tulivyo, kasoro mimi[emoji38][emoji38][emoji38]
Katiba ya UMOJA WA MAWIFI NA MASHEMEJI TZ (UMMT)
Sura ya kwanza, sehemu ya pili ibara ya 8: shemeji/wifi anatakiwa kusifia na kumuunga mkono kila mpenzi anaetoka/ atakaetoka kimapenzi na ndugu yao pasipo kujari huyo mtu kama anadanganywa au anapendwa kweli.
 
Back
Top Bottom