Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Aziza Hana influence Kama Cath ndo maana waona wako kimya.

Ingekuwa Cath Hana influence ungeona salamu za pole kila Kona Kama napata
Acha bangi kwanza kisha tibiwa ndo uje kuandika hapa
 
Nasikia hata tajiri wa mabasi wa Dodoma ambaye pia ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.

Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae

Pia nasikia mbunge Fulani wa huko Geita alijiburuza nae

Si Haba
Anagawa pipi kwa wenye umate mate.

Subiri wakianza kukatika kama umeme wa kojani
 
Ni wewe dada yake uliyekuwa unang'ata pendo la mawifi wote bila shaka. [emoji848][emoji848][emoji848]

Maana hili jina linafanana kidogo na la wifi wao wakina Cathy linalotumika Instagram

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
WiFi dizaini ya Yule dadake diamond [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anakwenda na upepo wa kakake[emoji1]
 
Huyu binti hana tofauti na yule mwanamama aliyeimba 'wanawake na maendeleo'...kazi kuiba waume za watu, maana naye mwanaume aliyemkwiba kashawahi namba...

Sasa lile mama linavyolia utadhani huyo mume ni high school sweetheart, wakati kamkwiba kwa mwanamke mwenzie ambaye sasa anaishi kwa tabu...
Kisa nafasi zao. Ingekuwa mi ndo Aziza Sasa hivi Niko rumande ningempiga kisu.
 
Haya, na mengine mengi ya aibu, yanaweza kuepukwa kwa wanandoa kujaribu kuishi maisha ya uaminifu katika ndoa zao. Tabia hii ya kuwa na michepuko na kuzaa zaa nje huko siyo nzuri kwa wanandoa na mwisho wake ndo kama hivi. Aibu tupu mtu unazikwa na maugomvi watu wakigombea mali ulizoacha.
 
Marehemu anaendelea kuishi kati yetu kupitia matendo yake enzi za uhai wake
 
Dah si angeishia kuaga kanisani (kama aliagiwa kanisani)................. Mpaka na shada katengeneza na kwenda kuliweka?! Dah
Mwanakulifind...........
 
Hujui tu wewe kufiwa na mume halafu vishetani vilete ufisadi sisi hii imetokea kwetu sema tunachoshukuru hawakuingilia mazishi ya baba yangu nilikuwa nimeapa nitambeba huyu mwanamke ni muweke kwenye jeneza wakaishi wotee.
Hujui tu kuishi na vimada wa baba yaani tokea nizaliwe napigania haki yangu mpaka huyo mzee akaja kufa
Tena unamfunika gubigubi [emoji3][emoji3][emoji3] nachekà kama mazuri, napiga picha ambavyo ungemnyanyua kama paka vile kalamba maziwa
 
Mungu awabariki sana aisee. Tunaona huku hekaheka za mawifi, hatari sana
Nakwambia Mchepuko alichemsha mwenyewe akasepa,kila akijaribu kujipendekeza kwa Mama anakuta Mama yuko busy anasali na Kikundi chake cha Moyo Mtakatifu wa Yesu kumwombea mtoto wake arudi kwenye Ndoa yake,Mchepuko kwangu hakuwahi thubutu hata kuandika msg. Kajipendekeza kwa Cousins wetu wakawa wanamlia vipesa vyake,wadogo zangu wa kiume wawili walikuwa na misimamo pia kumtetea Mke wa Ndoa, familia nzima tulisimama,Kaka akachoka akamwambia nimechoka kutengwa na familia na ndugu zangu,akarudi zake kwa Mkewe wa Ndoa na ndiyo tukarudisha mahusiano nae kifamilia.
 
Ni wewe dada yake uliyekuwa unang'ata pendo la mawifi wote bila shaka. [emoji848][emoji848][emoji848]

Maana hili jina linafanana kidogo na la wifi wao wakina Cathy linalotumika Instagram

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ndugu wa mme walio wengi huwa wanafiki sana hawanaga maana yeyote
 
Nakwambia Mchepuko alichemsha mwenyewe akasepa,kila akijaribu kujipendekeza kwa Mama anakuta Mama yuko busy anasali na Kikundi chake cha Moyo Mtakatifu wa Yesu kumwombea mtoto wake arudi kwenye Ndoa yake,Mchepuko kwangu hakuwahi thubutu hata kuandika msg. Kajipendekeza kwa Cousins wetu wakawa wanamlia vipesa vyake,wadogo zangu wa kiume wawili walikuwa na misimamo pia kumtetea Mke wa Ndoa, familia nzima tulisimama,Kaka akachoka akamwambia nimechoka kutengwa na familia na ndugu zangu,akarudi zake kwa Mkewe wa Ndoa na ndiyo tukarudisha mahusiano nae kifamilia.
Familia yenu inamjua MUNGU, usiombe ukutane na familia ya wademkaji uwii majeshi yote wanahamishia huko nyumba ndogo!
 
Umeandaa mazingira gani baina ya mkeo na mchepuko pindi utakapo kufa?
Umeenda mazingira gani kati ya watoto wa mkeo na wamchepuko wako pindi utakapokuwa haupo tena hai au hauna tena nguvu kama sasa?
Vip ndugu(waoande zote mbili ukweni na kwenu) na familia wanamahusiano gani?

Ukipata majibu yake utajua nn kitatokea baada ya kifo chako
 
Back
Top Bottom