Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Acha bangi kwanza kisha tibiwa ndo uje kuandika hapaAziza Hana influence Kama Cath ndo maana waona wako kimya.
Ingekuwa Cath Hana influence ungeona salamu za pole kila Kona Kama napata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bangi kwanza kisha tibiwa ndo uje kuandika hapaAziza Hana influence Kama Cath ndo maana waona wako kimya.
Ingekuwa Cath Hana influence ungeona salamu za pole kila Kona Kama napata
Anagawa pipi kwa wenye umate mate.Nasikia hata tajiri wa mabasi wa Dodoma ambaye pia ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.
Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae
Pia nasikia mbunge Fulani wa huko Geita alijiburuza nae
Si Haba
Mzee kapimeHahaha nimekaa mtaa mmja na Cathy majirani kitambo sana
Kabla hajawa hata mb
Aise....
Ova
WiFi dizaini ya Yule dadake diamond [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni wewe dada yake uliyekuwa unang'ata pendo la mawifi wote bila shaka. [emoji848][emoji848][emoji848]
Maana hili jina linafanana kidogo na la wifi wao wakina Cathy linalotumika Instagram
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Endelea kupasha joto.Maharage ya Mbeya mpunga kidogo tu then Unasahisha daftari kiulaaini kama maini...mzigo motooo
Kisa nafasi zao. Ingekuwa mi ndo Aziza Sasa hivi Niko rumande ningempiga kisu.Huyu binti hana tofauti na yule mwanamama aliyeimba 'wanawake na maendeleo'...kazi kuiba waume za watu, maana naye mwanaume aliyemkwiba kashawahi namba...
Sasa lile mama linavyolia utadhani huyo mume ni high school sweetheart, wakati kamkwiba kwa mwanamke mwenzie ambaye sasa anaishi kwa tabu...
Kisu ufie jela kwa ajili ya mume aliehama nyumbani kwenda kuishi huyo hawara akiwa hai?.Kisa nafasi zao. Ingekuwa mi ndo Aziza Sasa hivi Niko rumande ningempiga kisu.
Tena unamfunika gubigubi [emoji3][emoji3][emoji3] nachekà kama mazuri, napiga picha ambavyo ungemnyanyua kama paka vile kalamba maziwaHujui tu wewe kufiwa na mume halafu vishetani vilete ufisadi sisi hii imetokea kwetu sema tunachoshukuru hawakuingilia mazishi ya baba yangu nilikuwa nimeapa nitambeba huyu mwanamke ni muweke kwenye jeneza wakaishi wotee.
Hujui tu kuishi na vimada wa baba yaani tokea nizaliwe napigania haki yangu mpaka huyo mzee akaja kufa
Nakwambia Mchepuko alichemsha mwenyewe akasepa,kila akijaribu kujipendekeza kwa Mama anakuta Mama yuko busy anasali na Kikundi chake cha Moyo Mtakatifu wa Yesu kumwombea mtoto wake arudi kwenye Ndoa yake,Mchepuko kwangu hakuwahi thubutu hata kuandika msg. Kajipendekeza kwa Cousins wetu wakawa wanamlia vipesa vyake,wadogo zangu wa kiume wawili walikuwa na misimamo pia kumtetea Mke wa Ndoa, familia nzima tulisimama,Kaka akachoka akamwambia nimechoka kutengwa na familia na ndugu zangu,akarudi zake kwa Mkewe wa Ndoa na ndiyo tukarudisha mahusiano nae kifamilia.
Ndugu wa mme walio wengi huwa wanafiki sana hawanaga maana yeyoteNi wewe dada yake uliyekuwa unang'ata pendo la mawifi wote bila shaka. [emoji848][emoji848][emoji848]
Maana hili jina linafanana kidogo na la wifi wao wakina Cathy linalotumika Instagram
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Hata mama yangu mkubwa alikataa huo ujinga, kasema uliniacha ningali mbichi kabisa nikahangaika weee, sahizi eti ndoa hapana aligoma.kabisa!Hii ilimkuta Bibi, yaan mzee kahaangaika uko eti uzeeni anarudi kwa Bibi...tulimtoa baru
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Familia yenu inamjua MUNGU, usiombe ukutane na familia ya wademkaji uwii majeshi yote wanahamishia huko nyumba ndogo!Nakwambia Mchepuko alichemsha mwenyewe akasepa,kila akijaribu kujipendekeza kwa Mama anakuta Mama yuko busy anasali na Kikundi chake cha Moyo Mtakatifu wa Yesu kumwombea mtoto wake arudi kwenye Ndoa yake,Mchepuko kwangu hakuwahi thubutu hata kuandika msg. Kajipendekeza kwa Cousins wetu wakawa wanamlia vipesa vyake,wadogo zangu wa kiume wawili walikuwa na misimamo pia kumtetea Mke wa Ndoa, familia nzima tulisimama,Kaka akachoka akamwambia nimechoka kutengwa na familia na ndugu zangu,akarudi zake kwa Mkewe wa Ndoa na ndiyo tukarudisha mahusiano nae kifamilia.
Hivi ni kweli wanawake hampendani?Shida yetu Wanawake ni kujiona wewe ni bora kuliko aliyekuwepo. Ukianza kupigwa matukio ndiyo unajiona kumbe na wewe ulikuwa boya tu uliuvaa mkenge kama uliyekuwa unamdharau
Mkuu punguza uongo wa hivi mbona bado kuna giza zito.Haya sasa kumekuchaaaaaah huku.