Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Siyo kwamba hao watoto wake wamezaliwa na akili nyingi sana, bali ni kwamba baba mtu ana unlimited financial resources na social and political connections kubwa kuwawezesha watoto wafanikiwe malengo yao kimaisha.
Atakuwa yupo hai,aliwahi kuwa mbunge na Naibu waziri.Angekuwa hayupo hai kifo chake kingechapishwa humu.Atakuwa yupo analea wajukuu.Halo huyo Anne kilango atakuwa kaenda kwao huko upareni Kuna kijijini kinaogopeka Kwa uchawi sio Bure aisee.
Huyo Tatu Ntimizi bado yuko hai?
Noma sana lohAtakuwa yupo hai,aliwahi kuwa mbunge na Naibu waziri.Angekuwa hayupo hai kifo chake kingechapishwa humu.Atakuwa yupo analea wajukuu.
Well said mkuu..huo upande wa pili wana binadamu haramuMimi ushauri wangu:
Wazazi, iwe baba au mama au nyote msipungukiwe upendo kwa watoto wenu. Sijui katika uislam, lakini katika ukristo, soma vitabu vyote na kitabu kikuu cha biblia, hakuna hata sehemu moja ilipoandikwa kuwa mimba ni dhambi au kupata mimba ni dhambi au mtoto wa aina fulani ni dhambi. Dhambi ni uzinzi, mimba siyo dhambi, mtoto siyo dhambi. Bali tunaambiwa wapendeni watoto wenu wasije wakakata tamaa. Tubu uzinzi wako, kisha katimizi wajibu wako kwa mwanao.
Na kwa watoto waliofanywa wa hadhi ya chini kwa sababu ya historia ya kupatikana kwao, msihuzunike na kujilaani, mmekuja Duniani kwa mapenzi ya Mungu. Jibidisheni, pambaneni, msikose kutimiza wajibu wenu wa kuwaheshimu wazazi wenu.
Kumbukeni Mungu amewashusha wenye enzi katika viti, akawakuza wanyenyekevu. Mungu wetu huwabariki zaidi wanyenyekevu waliodharaulika ili kuwafedhehesha wenye nguvu waliojawa kiburi.
Jiulizeni, mfalme Sulemani alizaliwa kwa mama yupi? Obedi baba yake Yese, Yese aliyekuwa Baba yaje Daud, alikuwa wa mama Yupi? Maadam umezaliwa, ni binadamu kama wengine, mengine yatategemea juhudi zako na baraka za Mungu.
Huyo Anna Kilango Malecela mwenyewe 2015 alikoswa koswa kuuawa akiwa naibu waziri kwa kuvamiwa na majambazi yaliyomjeruhi akiwa safarini nusura naye aondoke alikoswa koswaHalo huyo Anne kilango atakuwa kaenda kwao huko upareni Kuna kijijini kinaogopeka Kwa uchawi sio Bure aisee.
Halo Kuna jambo ambalo si la kawaida kinaendelea kwenye hizi familia.Huyo Anna Kilango Malecela mwenyewe 2015 alikoswa koswa kuuawa akiwa naibu waziri kwa kuvamiwa na majambazi yaliyomjeruhi akiwa safarini nusura naye aondoke alikoswa koswa
Kwa hiyo hata JPM kule kumtaja Mungu kwenye kila kitu ni maigizo tu? Ni kwamba naye alipikwa haswa?Huyu Babu ni mkongwe anaongea HADI na mawziri waliopo humu nchini kama anampigia rafiki take wa karibu!!
Ananiambia siasa ni mfumo wa kilimwengu huwezi ingia halafu ukadumu hivi hivi!
Lazima uwe umepikwa eti ki Mungu Mungu huchomoki!!!
Mzee alitekwa na mama wa kinyakysKama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Dah hapa natamani kujazia nyamaHakuwa mtoto wa ndoa, babayake alimkataa akiwa mdogo kuficha uzinzi wake kwa mke wake wa ndoa. Pendeni watoto wenu na HAKUNA MTOTO WA NJE USIMFICHE WAAMBIE FAMILIA KWAMBA HUYU NI DAMU YENU. R,I,P WILIAM
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Duh ,km ni kweli basi kazi ipo!Jana nilimuuliza mzee mmoja kada na mtaalam sana wa jadi kwamba ni Nini hiki!!?
Akaniambia wakati mzee anatafuta maisha ya kisiasa alienda sehem kurekebishiwa MAMBO fulani sasa baada ya kupata akakiuka masharti sasa hayo madudu yanalipa KWA kuchukua wanafamilia baadae ataenda na yeye!!!
Nikamdadisi kwani ANAWEZA saidiwa!?akasema ndio sema ye mwenyewe hajitambui kama yanamla hayo madudu!!
Nilimshangaaa sana Mzee yaani aiseh!
Haya maisha HAYA!!
Alizaliwa kabla according to nilivyosoma story...Dah hapa natamani kujazia nyama
Sema sasa itakuwa kama tunamdhihaki marehemu
Ila wazee wetu hawa sometime wanazingua sana
Ova
Hata Ipyana kifo chake hakihusiana na kutafuta urithi!! Kifo chake kilisababishwa na wana ccm! Uchaguzi wa umoja wa vijana!! Muulizeni NCHIMBI!!!Sasa na Dr Mwele alikuwa anagombania? Alikuwa amekosa nini?
Kwenye mazishi ya Mwele, katika orodha ya watoto wa John Malecela huyo marehemu Le Mutuz was left out. Hata mwenyewe hakuhudhuria mazishi ya dada yake!!Alizaliwa kabla according to nilivyosoma story...
Ile. Kwamba mama mzazi na mama wa kambo walikuwa marafiki na baadae kuwa maadui wakubwa ,Kuna kitu hapa katikati hakiko sawa Kwa Hawa wamama na wote ndo walishakufa ..
Sad, mhanga wa hiyo vita akawa mtt ,jmn!
Walivyo wanafiki, kwenye wasifu wa marehemu nimesikiliA utube kule,eti ndo Leo hii wanasema alikuwa mtt wa kwanza wa Mzee jamani ,hizi familia 🙌🙌.
Wakati walikuwa wanamtenga akiwa hai....
Ni kweli hata msiba wa huyomdogo ake wa kiume lupy sijui ,walikuwa wanamtenga ,mtt mwenyewe 1 Tena wamemkutaKwenye mazishi ya Mwele, katika orodha ya watoto wa John Malecela huyo marehemu Le Mutuz was left out. Hata mwenyewe hakuhudhuria mazishi ya dada yake!!
Lupi hata ukimuangalia alikuwa overweight na nafikiri lifestyle yake ya pombe na misosi haikuwa nzuri sanaNi kweli hata msiba wa huyomdogo ake wa kiume lupy sijui ,walikuwa wanamtenga ,mtt mwenyewe 1 Tena wamemkuta
Je wangekua na wazazi km wa kwetu Hawa ? Watt Kila Kona mpk aibu wangeganyaje?
Kwao wote Wana miili mikubwa hata Samweli bonge la mtu kaenda hewani.., I think sbb mama zao wanyak's,maana wale Wana miili mikubwaLupi hata ukimuangalia alikuwa overweight na nafikiri lifestyle yake ya pombe na misosi haikuwa nzuri sana
Inaonekana lemutuz hakupata some love from family maana nasikia hata watoto wake na x wake ilikuwa vita tupu, sometimes maisha ndio hivyo ila safari ni moja kwa kila mtu na kila mtu na changamoto zake...RIP lemutuzKwenye mazishi ya Mwele, katika orodha ya watoto wa John Malecela huyo marehemu Le Mutuz was left out. Hata mwenyewe hakuhudhuria mazishi ya dada yake!!
Ipyana ndio nani?Hata Ipyana kifo chake hakihusiana na kutafuta urithi!! Kifo chake kilisababishwa na wana ccm! Uchaguzi wa umoja wa vijana!! Muulizeni NCHIMBI!!!
Ni kweli ukiona mtu amakula bata na kutaka kuthibitishia umma kuwa ana furaha kwa kutumia nguvu know he has someting to hide.Inaonekana lemutuz hakupata some love from family maana nasikia hata watoto wake na x wake ilikuwa vita tupu, sometimes maisha ndio hivyo ila safari ni moja kwa kila mtu na kila mtu na changamoto zake...RIP lemutuz