Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Maskini wee pole sanaHata babu yangu walikuwa hawavuki sitini wanakata moto karibia wote
Huyo mama achunguzwe Kwa jicho la tatuHuyo Mama ni hatari,hata le Mutuz alivyotoka US si alifikia Sea View.Unaambiwa baada ya muda,Anne alimtimua Le Mutuz hapo Sea view.
Achaa kuzarau watu na white color job yako hiyo, unamuona kila Mtu asiye na kazi ya white color job ni muhuni!!!Naona wahuni watupu isipokuwa Mello na wengine wawili
Daa kumbe?Kama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Nimemjibu huyu mda sio mashindano
"Hapa kuna kitu Mungu anamfundisha mzee Malecela na sitakisema kwenye jukwaa hili.
Kuzika watoto wanne is not a joke.
Ungesoma kwanza
Ndo hivo mkuuMaskini wee pole sana
Huwa inatokea sana huenda huwa wanakunbwa na maradhi kwenye damu zao ndugu
Hatuwezi kujua na ni fundisho pia
Ila tuwaombee kila wakati waliotutangulia
Na sisi tuombe sana mwisho mwema
Wakati mwingine hayo huwa ni maagano ambayo baba aliyaingia huko nyuma katika heka heka z kutafuta maisha ingawa hili limekaa kiroho zaid hapa watakao nielewa ni wale wa kiroho zaidiKuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.
Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.
Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake
Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.
Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.
Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.
Ni kawaida
Wakati mwingine hayo huwa ni maagano ambayo baba aliyaingia huko nyuma katika heka heka z kutafuta maisha ingawa hili limekaa kiroho zaid
Si vifo vyote ni vya mwenyezi munguKifo tumeandikiwa jamen?
Sawa sie tulozaa mmoja sijui itakuwaje 🙆🏼♂️🙆🏼♂️🙆🏼♂️Si vifo vyote ni vya mwenyezi mungu
Daah! Maisha haya, kama kuna atakae ishi milelee, tufikiri kua haya ni mapito pasifikie kutesana na kufukuzana kwaajili ya mali.Huyo Mama ni hatari,hata le Mutuz alivyotoka US si alifikia Sea View.Unaambiwa baada ya muda,Anne alimtimua Le Mutuz hapo Sea view.
Fundishaneni, shaurianeni lakini msitukanane. Hasira hasara.Acha upumbavu
Alichosema kinafundisha nini? Anadai mzee anatanguliza watoto wewe unaona ni sawa?Fundishaneni, shaurianeni lakini msitukanane. Hasira hasara.
Yaani ndo hapo sasa,wakati kila kitu kitabaki duniani,huyo Anne nae ataliacha hilo jumba,hata wanae wataliacha.Inahitajika busara kubwa sana na Hekima katika kuona mali zote zitabaki tu.Utu kwanza mali baadae.Daah! Maisha haya, kama kuna atakae ishi milelee, tufikiri kua haya ni mapito pasifikie kutesana na kufukuzana kwaajili ya mali.
Inauma sana sanaKuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.
Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.
Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake
Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.
Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.
Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.
Ni kawaida
Huyo mama alimtoa Tatu Ntimizi,watu wote walijua Tatu Ntimizi ndo ataolewa,hadi mzee alibadili dini na kujiita Jumanne cof of Tatu,ila Anne kapambana mpaka akaolewa yeye.Mke wa ndoa nae aliugua kimaajabu alitibiwa mpaka Kigoma huko enzi zile Makamba ni mkuu wa mkoa Kigoma. Ikute mama wa watu michepuko ndo walimpiga juju. Ila mzee nae alikuwa zip wazi enzi zake ,mweh..Huyo mama achunguzwe Kwa jicho la tatu
Mwendwa yupo hai wewe.Alietangulia mbele ya haki ni Dk Irene.Sio wanne, ni watano!
Senyagwa, Hippy, Mwendwa, Mwele na William![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ila mbona ni wa kwanza kuzaliwa. Alizaliwa kabla hao wa mke wa ndoa hawajazaliwa. Sielewi kwa nini alimficha.Hakuwa mtoto wa ndoa, babayake alimkataa akiwa mdogo kuficha uzinzi wake kwa mke wake wa ndoa. Pendeni watoto wenu na HAKUNA MTOTO WA NJE USIMFICHE WAAMBIE FAMILIA KWAMBA HUYU NI DAMU YENU. R,I,P WILIAM
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app