Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.
Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.
Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.
Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.
RIP Le Mutuz