Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
OIF.IZbuKpy8ek6Z9mtXRIbb9Q
Inauma!

Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.

Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.

Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.

Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.

RIP Le Mutuz
 
In attendace:
MC Haji Manara
Mwekekiti Kamati -Kimbau
Naibu Spika Zungu
Mbunge Jerry Slaa
Mbunge Catherine Magige((Le Mbebez)
Mbunge Babu Tale-"PhD"
Mstahiki Meya WA JIJI
Maxence Melo
Wakurugenzi DSTV, ASAS, Chefs Pride,
Mabibi na mabwana na waombolezaji!

Kama ulikuwepo tia neno.

UPDATE
Aniwie radhi sana mheshimiwa Bashite a.k.a Paul Makonda, naye alikuwepo
 
In attendace:
MC Haji Manara
Mwekekiti Kamati -Kimbau
Naibu Spika Zungu
Mbunge Jerry Slaa
Mbunge Catherine Magige((Le Mbebez)
Mbunge Babu Tale-"PhD"
Mstahiki Meya WA JIJI
Maxence Melo
Wakurugenzi DSTV, ASAS, Chefs Pride,
Mabibi na mabwana na waombolezaji!

Kama ulikuwepo tia neno.
Naona wahuni watupu isipokuwa Mello na wengine wawili
 
In attendace:
MC Haji Manara
Mwekekiti Kamati -Kimbau
Naibu Spika Zungu
Mbunge Jerry Slaa
Mbunge Catherine Magige((Le Mbebez)
Mbunge Babu Tale-"PhD"
Mstahiki Meya WA JIJI
Maxence Melo
Wakurugenzi DSTV, ASAS, Chefs Pride,
Mabibi na mabwana na waombolezaji!

Kama ulikuwepo tia neno.
Hivi hyo PhD Ina baraka za TCU kweli?
 
Back
Top Bottom