jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kuna wakati nilikuwa Manispaa fulani kubwa kuliko Manispaa zote Tanzania, lakini maslahi yake hayakuti baadhi ya Halmashauri za wilaya nchini.
Mfano Manispaa ya Iringa huwezi linganisha na Halmashauri ya Mufindi au Njombe kwa maslahi.
Ni akili ya mtu na bahati tu
Serikalini ""no one cares about you"".Taifa ambalo kila mtu anatafuta nafasi ya kupiga akipata mwanya huko mbeleni itakuaje?
Mafinga braza ni njaaaVipi kuhusu mafinga Kaka? Vipi pia maslahi ya architect halmashauri
Kwa kujitafuta Mafinga ni sawa ila kwa mslahi ya kazini Mafinga ni BIG NO.Kwa upande wa wataalam sijajua; ila ubora wa halmashauri huwa ninaupima kwa mapato ambayo ndiyo hutoa picha halisi ya mzunguko wa fedha.
So bila shaka arcticture inaweza ikawa inalipa japo sijawahi kufika huko.
Mafinga ninadhani kuko poa. Ninavyofahamu, miji ya Njombe, Makambako na Mafinga haichani sana na ni miji inayokuwa kwa kasi kuliko hata Moshi na Songea.
Kwa hiyo eneo lile ni nzuri kwa mtu anayeona mbali.
Ni kweli kabisa,kuna halmashauri zipo mjini ila njaa kali.Kwa kujitafuta Mafinga ni sawa ila kwa mslahi ya kazini Mafinga ni BIG NO.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Wakati mnamsikitikia TGS.C na D kumbukeni kuna wale wa TGS.A na BHawa jamaa wa TGS.C na TGS.D wana msongo sana wa mawazo ndio maana wana hasira sana hata huduma zao ni za hovyo wameandamwa na stress na madeni
Kwa kujitafuta Mafinga ni sawa ila kwa mslahi ya kazini Mafinga ni BIG NO.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Pwani wavivu ni wengi na money supply ni ndogo.Ila maslahi ya kazi ni pamoja na uwezekano wa kukutafuta.
Kuna mtumishi aliwahi kuhamishiwa Kilindi akitokea RS ya Tanga. Mwanzoni aliona tabu kimaslahi ila alipofika kule alianza kutamani asihamishwe baada ya kuanza kulima kwa mafanikio makubwa.
Mbona mi nipo Mafinga town council hapa na mambo yapo fresh? Unaposema maslai ya kazini unamaanisha nini?Kwa kujitafuta Mafinga ni sawa ila kwa mslahi ya kazini Mafinga ni BIG NO.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Msalimie Tajiri BEYONCE.Mbona mi nipo Mafinga town council hapa na mambo yapo fresh? Unaposema maslai ya kazini unamaanisha nini?
Wewe huna ujualo. Halmashauri ipi Tanzania wanaingia kazini saa 2 na wanatoka saa 11 jioni? Acha ujuaji.Wewe unaingia kazini saa mbili hadi saa kumi au kumi na moja, muda wa kazi ya ziada/biashara utaupata wapi? Labda utafute/ukope mtaji utafute atakaye simamia mradi. Swali langu jingine, je kila mtu mfanyakazi akiingia kwenye biashara wanunuzi ni wake na nani. Ndiyo maana hadi sasakuna wachache wanafanya biashara na wengi wanategemea kazi. Mimi nategemea kazi!
Acha kukwepa swali.Msalimie Tajiri BEYONCE.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ofsa kma mpwayungu villagemm ni ofsa mkuu