Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Hawana huo muda.waboreshe maslahi ya watumishi
Yaani pesa ya kujikimu tu tatizo, sijui huwa wanawazaga nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana huo muda.waboreshe maslahi ya watumishi
ni sahihi mkuukikubwa security ipo mkuu😂
hicho kilio kimetawala halmashauriHawana huo muda.
Yaani pesa ya kujikimu tu tatizo, sijui huwa wanawazaga nini?
Asijaribu. Tena akome kabisa.Fungua kibanda cha chipsi uajiri kijana
🤣kikubwa security ipo mkuu😂
pole sana mkuu,i feel ure painHari ni tete Sana, unachoweza kufsnya ni kupunguza matumizi, kula Milo miwili kwa siku, usiku unapiga ndeefu, ndizi mbili za kuiva unalala, acha bia,kuonga, nk, Bora wewe unapakujishikiza, hata salary ikichelewa, itakuja tu! Sasa kuna wingine,akina sie, ni kama mbwa! God Aki bless, unapata kitu, bila hivyo ni kusaga rami, tumekaa walipoolewa Dada zetu, mpaka, inaleta msongo wa mawazo
mm ni ofsa mkuuMleta mada watasema we ni mwalimu !! 😂😂
kwanini?Asijaribu. Tena akome kabisa.
Muachie mtu mpaka utakapojua ndoo au gunia linakupa faida kiasi gani.kwanini?
Kwa niniAsijaribu. Tena akome kabisa.
Post #33Kwa nini
naelewa magumu wanayo pitia wanao tafuta ajira,kula yao tu MUNGU anasimamia.
ila kuna ndugu zenu wamepata ajira halmashauri nao kichwa kinapasuka kwa madeni,stress na uduchu wa mishahara.
hela ya kujikimu tu haipatikani licha ya serikali kuu kulikemea swala hili kila mara lakini wapii.
Rais samia tukumbuke huku halmashauri maslahi yetu ni hafifu sana na hela za kujikimu hazipatikani
😅😅😅Nawachukia CCM kuliko shetani
hapana mkuu ,kubet ni pasua kichwaBora kubeti kuliko kufanya kazi halmashauri