Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwa hiyo ameenda kuongeza msotoBora ujiajiri hata bodaboda kuliko kufanya kazi halamashauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ameenda kuongeza msotoBora ujiajiri hata bodaboda kuliko kufanya kazi halamashauri.
Hivi huko Tari papoje mkuu?nenda wizarani ama taasis kama Tari,TFRA nk
usije sema sikukwambia
Ualimu na usafiri vyote alisomea dip anasema atabaki na mshahara wake uleule wa ualimu ngazi ya diplomaUalimu ana tgts ipi na uafisa usafiri tgs c1 Kwa dip!
Atapata chenji ya mafuta ya misiba, misafara ya mwenge na mitihani.
Atashirikiana na wauza mafuta kuandika Lita hewa.
Atakuja kuwa mchepuko wa dereva wa mkurugenzi au dt
Hii lazima, sasa hivi atakayekuwa wa kwanza kumlala ni mkurugenzi maana ndiye kampitisha fastafasta kweli mpaka wengine halmashauri wameshangaaAtakuja kuwa mchepuko wa dereva wa mkurugenzi au dt
Ni mzr mzr?Hii lazima, sasa hivi atakayekuwa wa kwanza kumlala ni mkurugenzi maana ndiye kampitisha fastafasta kweli mpaka wengine halmashauri wameshangaa
MzuriNi mzr mzr?
Huyu atakuwa yupo DC moja Chaka sanaa, mapato hakuna na njaa Kali..Liverpool VPN unaitwa huku
Sasa wewe braza unaajiliwa Ukerewe, Rombo, Tabora, Kigoma, Momba, Ileje, Mpimbwe, Sumbawanga KWANINI USILIE NJAA?Naelewa magumu wanayo pitia wanao tafuta ajira, kula yao tu MUNGU anasimamia.
ila kuna ndugu zenu wamepata ajira halmashauri nao kichwa kinapasuka kwa madeni, stress na uduchu wa mishahara.
Hela ya kujikimu tu haipatikani licha ya serikali kuu kulikemea swala hili kila mara lakini wapii.
Rais samia tukumbuke huku halmashauri maslahi yetu ni hafifu sana na hela za kujikimu hazipatikani
Tafuteni mashavu huko kwenye Halmashauri zenye akili.Hawana huo muda.
Yaani pesa ya kujikimu tu tatizo, sijui huwa wanawazaga nini?
Inategemea na halmashauri.Uko idara gani hapo halmashauri?
Kuna jamaa angu ni mhasibu naona mambo yake sio mabaya.
Akiwa mjanja akaelewana na Procurement officer atapiga sanaa hela za Mafuta.Kuna manzi amefanya uamuzi wa kuhama (categorization) kutoka ualimu kuwa transportation officer wa halmashauri. Unamshaurije? Level ni diploma
Cc; mkarimani feki
Chips mijini na sio vijijini hata wanapolima TU viazi hawaijui chipsFungua kibanda cha chipsi uajiri kijana
Shida yuko zile halmashauri chakaa ulizotajaAkiwa mjanja akaelewana na Procurement officer atapiga sanaa hela za Mafuta.
#YNWA
Kwa halmashauri Chaka uwe post yoyotee we ni njaaa tuuu.Shida yuko zile halmashauri chakaa ulizotaja
Inategemea na halmashauri.
Ukiajiriwa halmashauri chakaa, kwa nafasi yako yoyotee lazima maisha yawe magumu.
#YNWA
Acheni kulialia. Sisi tunaofanya biashara tunakutana na machungu mengi sana sema tuna ujasiri kuliko makundi mengine. Imagine mimi niliagiza mzigo niuze krismas na mwaka mpya ila nimeupata juzi tarehe 24. Mzigo ulifika tangu tarehe 16 December ila process za Bandari ni mwezi na zaidi. Ishi kulingana na kipato chako. Kama uwezo wako ni kula mlenda acha kutamani kuku choma.