mkarimani feki
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 302
- 1,212
- Thread starter
- #101
wako njema sana mkuu ndio wanatufanya sisi junior tule msoto maana benefits zetu wanazipindishaWakuu wa idara wa halmashauri wanafaidi kiaina sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wako njema sana mkuu ndio wanatufanya sisi junior tule msoto maana benefits zetu wanazipindishaWakuu wa idara wa halmashauri wanafaidi kiaina sio?
wako njema sana mkuu ndio wanatufanya sisi junior tule msoto maana benefits zetu wanazipindishaWakuu wa idara wa halmashauri wanafaidi kiaina sio?
afsa tarafa yupo chini ya mkuu wa wilaya/katibu tawala. ndio boss wa watendaji hakosi hela za ofisi na vikesikesi kifupi yuko poa kimtindo, wewe utakua boss wa ma afsa wote huko kata hata kama wamekuzidi elimu, halafu pia tarafa imekaa kisiasa siasa sana .Kaka vipi maslahi ya afisa tarafa au mtendaji kata?
mchumi ,agro officer, sports,biashara salary zao huku halmashauri ni 700k plus, Tari wao wana anza na 1.2 M kwa graduates pia wana projects nyingi mkuuHivi huko Tari papoje mkuu?
Yaani kuna salary nzuri au marupurupu na miposho ??
Hebu nipe uzuri wake maybe ni anze kupatolea macho
Usiamini kwa macho mkuuHata wizarani uko ukiyasikia utaakaa kimya
Halmashauri uko uko kuna watu wapo km heaven wale Ellites
Niliwai kuona mfanyakazi wa TRA analalamika kichizi
Wakati ukisikia TRA unachowaza akilini pesa nje nje
Umeandika ukweli mtupuafsa tarafa yupo chini ya mkuu wa wilaya/katibu tawala. ndio boss wa watendaji hakosi hela za ofisi na vikesikesi kifupi yuko poa kimtindo, wewe utakua boss wa ma afsa wote huko kata hata kama wamekuzidi elimu, halafu pia tarafa imekaa kisiasa siasa sana .
Kalaga baho 😃Muhindi konyo. Muhindi akikuona masaa ya kaz wewe ushamaliza kazi roho inamuuma anakutafutia Cha kufanya. Sahiv nataka kukomaa nipate mikopo manispaa 🥴
Halmashauri ni laanaUmeandika ukweli mtupu
Hiyo ni mindet. Not always!Halmashauri ni laana
Maelezo yametimia.... Thanks for infoafsa tarafa yupo chini ya mkuu wa wilaya/katibu tawala. ndio boss wa watendaji hakosi hela za ofisi na vikesikesi kifupi yuko poa kimtindo, wewe utakua boss wa ma afsa wote huko kata hata kama wamekuzidi elimu, halafu pia tarafa imekaa kisiasa siasa sana .
Naona malalamiko mengi ya wafanyakazi wa halmashauri hata wengi life lao kama bado wanajitafutaHiyo ni mindet. Not always!
Ni mtumishi asiyejitambua pekee anaweza kutegemea mshahara kama chanzo chake cha mapato bila kubuni vyanzo vingine.Naona malalamiko mengi ya wafanyakazi wa halmashauri hata wengi life lao kama bado wanajitafuta
Wanajitanuaje kibiashara kazi tembo mshahara sunguraWatu wa Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa huwa wanatamani wafanye kazi Halmashauri kwa sababu kuna fursa za kujitanua kibiashara ukilinganisha na kwa RAS.
Oya nikimpata huyo tubadirishane aje huku Halmshauri.Ni mtumishi asiyejitambua pekee anaweza kutegemea mshahara kama chanzo chake cha mapato bila kubuni vyanzo vingine.
Halmashauri ikiwa mjini au kijijini bado kuna fursa kibao.
Watu wa Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa huwa wanatamani wafanye kazi Halmashauri kwa sababu kuna fursa za kujitanua kibiashara ukilinganisha na kwa RAS.
Kabisa yani.Kuna maeneo mengine kuendelea kuyaishi ni kuukaribisha umaskini wa kujitakia !!
Mipango.Upo Idara gani?
Jamaa anarahisisha sana maisha.Wanajitanuaje kibiashara kazi tembo mshahara sungura
Nimeshangaa sanaJamaa anarahisisha sana maisha.