Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio saa 11 wenzako tunapigaga mzigo hata mpk saa 3 usiku na hakuna cha over time wala niniWewe huna ujualo. Halmashauri ipi Tanzania wanaingia kazini saa 2 na wanatoka saa 11 jioni? Acha ujuaji.
KibakweUpo halmashauri ipi?
Huko ni kwa maskini. Lazima uwe maskini. Njoo Mufindi wewe tupige pesa kulingana na urefu wa kamba zetu.Kibakwe
Ngoja tuoneHuko ni kwa maskini. Lazima uwe maskini. Njoo Mufindi wewe tupige pesa kulingana na urefu wa kamba zetu.
Mfundi kuna posho?Huko ni kwa maskini. Lazima uwe maskini. Njoo Mufindi wewe tupige pesa kulingana na urefu wa kamba zetu.
kila sehemu pagumuSema hata hivyo watumishi welevu na wenye kujiongeza wachache sana mno, ishini vizur na raia unao wahudumia mkuu hautagusa mshahara trust mkarimani feki
Mnataka tuwaambie ili Muhamie huku. Bakini huko huko Chemba na Newala msituletee bugudha mjini.Mfundi kuna posho?
Kanjubhai nomaHii sekta yangu mzee balaa Haina jina mana muhindi anakuomba umsaidie Hadi kufagia uwanja