Poleni sana Wakazi wa hii Mikoa tajwa Tanzania kwa Joto Kali mnalolipitia sasa

Pemba, kummmke.
Huku kuna joto sijawahi ona tangu dunia imeumbwa.
Hawa wapemba sijui wanaishije.
Halafu nimegundua wapemba wengi hawapendi kulala na feni.
Hapa nateseka sana.

Nawaza vingi 🤔 ila ngoja niishie hapa.
 
Kumbe somo ni jirani yangu hapa Masasi ( chigugu)
 
Joto linakwenda hadi 36°C kudadadinya kama sio kiama basi ni kitu gani hii tena.
 
Pemba, kummmke.
Huku kuna joto sijawahi ona tangu dunia imeumbwa.
Hawa wapemba sijui wanaishije.
Halafu nimegundua wapemba wengi hawapendi kulala na feni.
Hapa nateseka sana.

Nawaza vingi 🤔 ila ngoja niishie hapa.
Umempelekea mpemba akuweke halafu feni hana!

Bahari huwa inatema mvuke, usishangae hata ukalale nyumba ya beach front utakutana na joto la kibabe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…