Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Hivi huyu Premier ni pacha wa Ally’s star?TAARIFA haijakamilika mkuu imetokea maeneo Gani? Kwa ninavyofahamu Kaprikoni inafanya safari za kutoka Mbeya kwenda Arusha na hiyo Premier inasafiri toka Mbeya kwenda MWANZA.