Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Ujinga upo Kila sehemu hii Nchi, sijui miaka 20 ijayo tutakuwa na li-Taifa la namna gani....
 
..fedha ndio kila kitu ktk siasa za Ccm.

..na hao wabunge ambao mnasema hawajasoma wana pesa sio mchezo.

..hakuna msomi anaweza kushindana nao ktk uchaguzi.
 
Tuwe wa kwali bunge letu hamna tofauti kati ya wa bunge wa darasa la saba na ma professor.......Nyerere aliharibu siasa za nchi hi.
Nyerere hayupo tena, hakuna anayewazuia kujenga siasa zenu....kubalini tu uwezo wenu ndio huu.
 
Huu ni ukweli wa wazi, wasukuma elimu yao kubwa baada ya kuchunga ng'ombe ni standard VII, so kwa waliojipata na ikaonekana katika jamii yao wamevuka hiyo level kwao ni wakubwa sana bila kuangalia jamii nzima ya watanzania. Tusishangae haya ya kina Musukuma pale bungeni, kwa jamii yao wanaonekana ni heroes😀😀
 
Mtoa hoja angeseka wazi mchango kwenye pato la taifa kwa hiyo mikoa ya wabunge waliosoma ni kiasi gani?

Tuweke rejea Kilimanjaro/Tanga ukilinganisha na Mwanza, Geita, Simiyu, Tabora na Shinyanga?
 
Gete gete kiufupi ni shida
Gete gete kwa ujumla shule hawapendi, kwahiyo wao wanawahusudu watu wenye ng'ombe nyingi.

Kwahiyo, kwa akina Gete gete ukiwa na ng'ombe na uka"behave" kama ng'ombe, tayari wanakula ubunge.
 
Wabheja sana umenitulizia huyo mbulu kenge maana katuona sisi mafala sana...nilitaka nimjibu ila majibu haya yanamtosha😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…