Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Huu ni ukweli wa wazi, wasukuma elimu yao kubwa baada ya kuchunga ng'ombe ni standard VII, so kwa waliojipata na ikaonekana katika jamii yao wamevuka hiyo level kwao ni wakubwa sana bila kuangalia jamii nzima ya watanzania. Tusishangae haya ya kina Musukuma pale bungeni, kwa jamii yao wanaonekana ni heroes😀😀
Kwamba akina Prof Shija, Prof Mchembe ndiyo darasa la saba? Acha utani...ukifanya sensa kwa kuangalia idadi ya watu waliosoma sana nchi hii uwezi kuwakosa was ukuta kwenye tano bora. Ila mimi siyo msukuma.
 
Nale Ng'wanza Bugando Hospital nasikile igolo

Nyanda one ogwile mulente obenzeka nkono mara mbili

Hahaha!!Natele ogotola hobachimaga kwanza
Pole sana bageshi. Mulungu Agagunane agayanda giswe. Gatalī gado gagupila chiza guke.

Ūbebīgīganza jako jīgapīla chiza?

➡️➡️➡️ Ītagūtole nkoyi. Amanyo adakanyiyagwa ingawa manonu gūbītīlīja. Ūnene hūtolaga ng'wezi ūkūminakabīlī. Gakima ga Gahajeiefu henaha 😁😁😁🖐
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Wabunge wa Tanzania mbona wote kama sawa tu?
 
Wasukuma kama kabila kubwa Tanzania wametoa viongozi kama Dr Chagula na Mbunge Msukuma, hawana upungufu wa kuchagua watu wa kuwawakilisha.

Tukiacha mambo ya kabila, wilaya ya Ukelewe mkoa wa Mwanza imetoa Speaker wa Bunge la Tanzania Pius Msekwa na Speaker wa Africa Union Getruda Mongela.
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Atleast wanaonekana kua na hoja zenye tija bungeni ukilinganisha na wasomi waliofeli kuonyesha impact ya elimu yao ktk taifa la Tanzania...

Wasukuma wameona future yao hailetwi na wasomi bali watu wanaojielewa

Kama ulibahatika kua na D mbili utaona umaarufu wao si kwa sababu ya elimu yao ya darasa la saba bali mawazo yao yenye tija hata kwa mtu wa kawaida anaelewa.
 
Pole sana bageshi. Mulungu Agagunane agayanda giswe. Gatalī gado gagupila chiza guke.

Ūbebīgīganza jako jīgapīla chiza?

➡️➡️➡️ Ītagūtole nkoyi. Amanyo adakanyiyagwa ingawa manonu gūbītīlīja. Ūnene hūtolaga ng'wezi ūkūminakabīlī. Gakima ga Gahajeiefu henaha 😁😁😁🖐
Obheja sana

Nanagokobaga ng'wanike ogotola
Geganza japela ila enzwala shalema ogukonja(ngume)

Hahahahahaha!!kweli amanyo manonu sana bhageshi

Ogontolaga gakima gajeiefu ganani nagamane😀
 
Kule simiyu kuna wilaya ambayo watumishi wa wake hupigishwa magoti na mbunge wao Ngalu kama wakijikuta wamegusa maslahi yake. Ushahidi upo anamkoromea DED DC DAS basi mtumishi utashukiwa utajuta! Wapo waliofukuzwa kazi kwa amri yake, wapo waliopigwa demotion, wapo waliopigishwa magoti ofisini kwake, wapo madalali wa kampuni zake ambao ni wakuu wa idara, na ukionekana mbishi kikao kinafanyikia Gamboshi utakimbia ofisi mwenyewe mchana kweupeee ni bora shetani asikupende kuliko huyu mwamba na ndiye mfadhiri mkuu wa halmashauri
 
Mfumo wetu wa recruitment ya wazalendo kwenye siasa ni wa hovyo tu!wananchi wanachagua kile kilichopitishwa na chama!bila kujali ni Mla rushwa n.k!
 
Wasukuma ni mizigo kwakweli,hata kukosea no za simu,Nchi hii hilo kabila linaongoza.Wametujazia wapiga makofi bungeni hovyo kabisa nyie.😄 Tunawazidi sisi Wazaramo wa Samvula Chole.
 
Wasukuma ni mizigo kwakweli,hata kukosea no za simu,Nchi hii hilo kabila linaongoza.Wametujazia wapiga makofi bungeni hovyo kabisa nyie.😄 Tunawazidi sisi Wazaramo wa Samvula Chole.
Acha fitina sio saizi yako
 
Ila kama kuna ukweli vile ila wasukuma badilikeni msiangalie mtu wa kununulia vitumbua na chai angalieni mtu atakayewawakilisha kweli bungeni waigeni hao watu wa pwani, tanga na kilimanjaro mchague wasomi somi kidogo
Msukuma ni shidaaaaaa
 
Tuwe wa kwali bunge letu hamna tofauti kati ya wa bunge wa darasa la saba na ma professor.......Nyerere aliharibu siasa za nchi hi.
Haya maneno Nyerere au hata viongozi waliofuatia waliharibu nchi ni fikra hasi.
Wananchi wanaweza kufanya wanachotaka sasa kurekebisha makosa. Muhimu kupeana elimu, maarifa na taarifa sahihi za kurekebisha.
Kila mmoja anatakiwa kufikiri na kufanya mambo chanya kwa nafasi na wakati wake.
 
Back
Top Bottom