Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ng'wanene ng'wizukulu?Ng'wagoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ng'wanene ng'wizukulu?Ng'wagoko
Kwamba akina Prof Shija, Prof Mchembe ndiyo darasa la saba? Acha utani...ukifanya sensa kwa kuangalia idadi ya watu waliosoma sana nchi hii uwezi kuwakosa was ukuta kwenye tano bora. Ila mimi siyo msukuma.Huu ni ukweli wa wazi, wasukuma elimu yao kubwa baada ya kuchunga ng'ombe ni standard VII, so kwa waliojipata na ikaonekana katika jamii yao wamevuka hiyo level kwao ni wakubwa sana bila kuangalia jamii nzima ya watanzania. Tusishangae haya ya kina Musukuma pale bungeni, kwa jamii yao wanaonekana ni heroes😀😀
Obheja kulumba ngosha! Mleta mada ameongea kama mkazi wa wodi ya vichaa Mirembe. Watu wa hivi ni wa kuwapiga spana tu.Wabheja sana umenitulizia huyo mbulu kenge maana katuona sisi mafala sana...nilitaka nimjibu ila majibu haya yanamtosha😎
Pole sana bageshi. Mulungu Agagunane agayanda giswe. Gatalī gado gagupila chiza guke.Nale Ng'wanza Bugando Hospital nasikile igolo
Nyanda one ogwile mulente obenzeka nkono mara mbili
Hahaha!!Natele ogotola hobachimaga kwanza
wabunge wasomi wasukuma si ndio hao kina Ngeleja,Chenge waliogawana mabulungutu ya Escrow!.
Wabunge wa Tanzania mbona wote kama sawa tu?POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.
Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.
Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.
Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
HujakoseaWabunge wa Tanzania mbona wote kama sawa tu?
Atleast wanaonekana kua na hoja zenye tija bungeni ukilinganisha na wasomi waliofeli kuonyesha impact ya elimu yao ktk taifa la Tanzania...POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.
Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.
Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.
Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Obheja sanaPole sana bageshi. Mulungu Agagunane agayanda giswe. Gatalī gado gagupila chiza guke.
Ūbebīgīganza jako jīgapīla chiza?
➡️➡️➡️ Ītagūtole nkoyi. Amanyo adakanyiyagwa ingawa manonu gūbītīlīja. Ūnene hūtolaga ng'wezi ūkūminakabīlī. Gakima ga Gahajeiefu henaha 😁😁😁🖐
SweetyCandyMwacheni msukuma nitakuja kata mapanga mtu
Acha fitina sio saizi yakoWasukuma ni mizigo kwakweli,hata kukosea no za simu,Nchi hii hilo kabila linaongoza.Wametujazia wapiga makofi bungeni hovyo kabisa nyie.😄 Tunawazidi sisi Wazaramo wa Samvula Chole.
Msukuma ni shidaaaaaaIla kama kuna ukweli vile ila wasukuma badilikeni msiangalie mtu wa kununulia vitumbua na chai angalieni mtu atakayewawakilisha kweli bungeni waigeni hao watu wa pwani, tanga na kilimanjaro mchague wasomi somi kidogo
Haya maneno Nyerere au hata viongozi waliofuatia waliharibu nchi ni fikra hasi.Tuwe wa kwali bunge letu hamna tofauti kati ya wa bunge wa darasa la saba na ma professor.......Nyerere aliharibu siasa za nchi hi.