Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Kwamba akina Prof Shija, Prof Mchembe ndiyo darasa la saba? Acha utani...ukifanya sensa kwa kuangalia idadi ya watu waliosoma sana nchi hii uwezi kuwakosa was ukuta kwenye tano bora. Ila mimi siyo msukuma.
Mkuu sijui umeelewa nilichosema hapo juu? Sijasema kuwa hakuna waliofika elimu ya juu bali waliovuka standard VII kwao ni wakuheshimika sana. Hao uliowataja nawafahamu na nawaheshimu sana na wapo zaidi yao. You need to quote me right bro
 
Ila twende mbeoe turudi nyuma Mbunge inakuwake awe darasa la 7 seriously...Ivi Miswada ya Sheria kweli ipitishwe na Darasa la 7
Hao ndio kazi yao kupitisha kila kinacholetwa mbele yao bila kufanya udadavuzi yakinifu na kujua matokeo ya kilichopo mbele yao kwa jamii nzima baada ya miaka kazaa. Tunahitaji katiba mpya itakayoweza kusimamia mpaka wawakilishi wa wananchi bungeni
 
Gete gete kwa ujumla shule hawapendi, kwahiyo wao wanawahusudu watu wenye ng'ombe nyingi.

Kwahiyo, kwa akina Gete gete ukiwa na ng'ombe na uka"behave" kama ng'ombe, tayari wanakula ubunge.
Bebe nyanda, ulimahe obebe??
 
Wasukuma ni mizigo kwakweli,hata kukosea no za simu,Nchi hii hilo kabila linaongoza.Wametujazia wapiga makofi bungeni hovyo kabisa nyie.😄 Tunawazidi sisi Wazaramo wa Samvula Chole.
Vipi lakini mikoa yao ilivyo mbali kimaendeleo tofauti na mikoa mingi inayoongozwa na wasomi, licha kwamba wawakilishi wao ni darasa la 7
 
Jamii ya watu wajinga huibeza elimu na kuwaona waliosoma kama wanajivuna na kuwadharau kwa kigezo cha pesa,

Watu wajinga ni kama ndege hupaa kwa pamoja na Wajinga wenzao.

Hii ndo akili ya Msukuma na Mkurya kwa ule ukanda wa Ziwa.
Elimu yako inaushawishi upi kwente jamii?

Au unasema kinyume nyume mkuu, maana wasomi nanyi mnambo mengi ya kijinga sana

Mwaka fulani msomi mmoja kwa jina la Dr. Mwakye aliulizwa swali na kijana mmoja darasa la saba, kilichofuata, Dr. kashindwa kujibu akaanza kujitapa kwa degree zake

Huu siyo upoyoyo ni nini?

Wasomi saidiwni nchi, tunawabeza kwa sababu mnaiba sana, mnajitapa mno ilohali hamna chochote chenye impact kwa jamii
 
Sio pole Wasukuma, "sema pole Watanzania " kivipi? Katiba inasema ajue tu kusoma na kuandika, na Msukuma ameshikilia hiyo point. Tubadili katiba tuseme, "kuwa mbunge ni lazima uwe na degree kutoka chuo kinachotambuliwa".
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Meshack Opulukwa (Meatu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
Uongo huo.
Sema wenye pesa ndio wanachaguliwa.
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Wewe kwa bunge hilo la Tulia Ackson unaona kuna anayeendana na msomi?
 
Elimu yako inaushawishi upi kwente jamii?

Au unasema kinyume nyume mkuu, maana wasomi nanyi mnambo mengi ya kijinga sana

Mwaka fulani msomi mmoja kwa jina la Dr. Mwakye aliulizwa swali na kijana mmoja darasa la saba, kilichofuata, Dr. kashindwa kujibu akaanza kujitapa kwa degree zake

Huu siyo upoyoyo ni nini?

Wasomi saidiwni nchi, tunawabeza kwa sababu mnaiba sana, mnajitapa mno ilohali hamna chochote chenye impact kwa jamii
Maswali yenu ya "Kuchora Panzi kumekusaidia nini katika maisha yako" ndo mnataka majibu?

Impact ya wasomo katika jamii inafichwa na jeshi la wajinga, kwakua mnana macho mafupi ya mbio za panya.

Waelevu wakitoa hoja sizizo onyesha matunda ya leo leo mnaona mnnaumizwa.

Endeleeni kupokea full tank kwa boda, kofia, Tshirt, chumvi na vitenge mvae leo leo mkidai katiba si shida zenu.
 
Kama anautani na wasukuma sawa lakini nikiingalia Kahama na haijawahi kuwa na Waziri lakini leo hii Kahama na Dodoma hakuna tofauti
Kahama ilishawahi kua na Waziri, Luis Sazia ,Serikali ya Mwl. Nyerere.
Ezekiel Maige Serikali ya J. Kikwete.
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Kahigi(Meatu/Kishapu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
Prof Kulikoyela kanalwanda Kahigi alikuwa Jimbo la Bukombe alimshinda Emanuel Buhahula ambaye elimu yake ilikuwa haieleweki.
 
Maswali yenu ya "Kuchora Panzi kumekusaidia nini katika maisha yako" ndo mnataka majibu?

Impact ya wasomo katika jamii inafichwa na jeshi la wajinga, kwakua mnana macho mafupi ya mbio za panya.

Waelevu wakitoa hoja sizizo onyesha matunda ya leo leo mnaona mnnaumizwa.

Endeleeni kupokea full tank kwa boda, kofia, Tshirt, chumvi na vitenge mvae leo leo mkidai katiba si shida zenu.
Wewe mwenyewe ungaunga!
 
Back
Top Bottom