Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Swala ni darasa d
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.

Kusema kweli sijawahi kufika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kule kujimwambafai kwa Wachagga tu ndo kulinipotosha na kudhani kwao pako vizuri.

Ila nilichobaini ni kwamba watu wengi wana misconception kuhusiana na Wasukuma kama huyu mleta mada. Kuna watu hata utafiti wa kisosholojia hawajawahi kufanya ila wanapayuka tu kuwa Wasukuma hiki, Wasukuma kile kwa njia hasi.

Hao wanaojisifu wana Wabunge wasomi wamesaidiwa nini na usomi wa Wabunge wao? Yule Prof.Jumanne Maghembe alifanya kipi cha maana kule Upareni? Vipi Prof.Simon Mbilinyi kule Ruvuma au Prof.Philemon Sarungi kule Ujaluoni?

N.B:Nisieleweke kwamba sipendi Wabunge wasomi laaah,nawapenda ikizingatiwa kuwa mimi pia nina elimu, sasa naanzaje kuichukia? Ila namkosoa mleta mada kwa namna alivyofanya shambulizi dhidi ya kabila moja tu nchini kana kwamba huko kwingine mambo yako vizuri.
Swala ni darasa au lugha? Mm ni darasa la Saba nimefanya kazi na mnayemwita msomi wa UDOM Pale Morogoro 21st century Maboss wetu ni wahindi mpaka leo. Nilikuwa na uwezo wa kupokea maelekezo ya kazi na kutoa maelezo ya kazi kuliko huyo msomi Kwa issue ya lugha. MSITUDHARAU wengine tulifaulu ila hatukuchaguliwa. Wakati huo siyo kila aliyefaulu alichaguliwa nafasi zilikuwa chache. Ok naamini tunahitaji wenye uchungu na nchi. Hv Tulia na Mbunge Msukuma bora Nan? Hv Tulia na huyo Mbunge aliyemsimamisha vikao 15 nani bora?
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Hebu wataje, mbona kama hakuna tofauti ya Wabunge wasomi na hawa walioishia darasa la 7? Hasa kama wote ni wa CCM
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Ni bora watu wa darasa la saba ambao sio wezi kuliko wenye madigirii lakini ni wakwapuaji !
Hata CAG analijua hilo !🙄😳
 
Swala ni darasa d



Swala ni darasa au lugha? Mm ni darasa la Saba nimefanya kazi na mnayemwita msomi wa UDOM Pale Morogoro 21st century Maboss wetu ni wahindi mpaka leo. Nilikuwa na uwezo wa kupokea maelekezo ya kazi na kutoa maelezo ya kazi kuliko huyo msomi Kwa issue ya lugha. MSITUDHARAU wengine tulifaulu ila hatukuchaguliwa. Wakati huo siyo kila aliyefaulu alichaguliwa nafasi zilikuwa chache. Ok naamini tunahitaji wenye uchungu na nchi. Hv Tulia na Mbunge Msukuma bora Nan? Hv Tulia na huyo Mbunge aliyemsimamisha vikao 15 nani bora?
Hilo nalo neno 👍🙌
 
Ila kama kuna ukweli vile ila wasukuma badilikeni msiangalie mtu wa kununulia vitumbua na chai angalieni mtu atakayewawakilisha kweli bungeni waigeni hao watu wa pwani, tanga na kilimanjaro mchague wasomi somi kidogo
Kama mwana pa
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Doho tabhu, doho shida!
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Mkuu kwa bunge hili kibogoyo, hakuna tofauti ya darasa la 7 na Professor.
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Meshack Opulukwa (Meatu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
Ila twende mbeoe turudi nyuma Mbunge inakuwake awe darasa la 7 seriously...Ivi Miswada ya Sheria kweli ipitishwe na Darasa la 7
 
Jamii ya watu wajinga huibeza elimu na kuwaona waliosoma kama wanajivuna na kuwadharau kwa kigezo cha pesa,

Watu wajinga ni kama ndege hupaa kwa pamoja na Wajinga wenzao.

Hii ndo akili ya Msukuma na Mkurya kwa ule ukanda wa Ziwa.
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Meshack Opulukwa (Meatu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
Ni sawa ila hii darasa la saba ina maanisha nini kwa wasukuma? Wapo wasomi wengi sana usukumani ila ni kwanini hawachaguliwi?

Jibu ni kwamba kuna tatizo kwa wanaochagua na wachaguliwa pia. Niseme tu kifupi kuwa wasukuma wana namna zao za kupata chochote wakitakacho, mtu akitumia njia hiyo basi watu hubaki wakishangaa amepataje kitu hicho au nafasi hiyo. Hizo namna zipo pia kwenye makabila mengine kwa viwango tofauti tofauti.
 
Acha fitina sio saizi yako
Fitina za Nini we Mtoto mzuri?ujui Kuwa hao ni watani zangu?yule ndugu yenu si alitunanga tukifunga ndoa tukapige picha pale kijazi.Nyie na darasa la saba damudamu.
 
Wasukuma ni mizigo kwakweli,hata kukosea no za simu,Nchi hii hilo kabila linaongoza.Wametujazia wapiga makofi bungeni hovyo kabisa nyie.😄 Tunawazidi sisi Wazaramo wa Samvula Chole.
Sasa mkuu, kukosea namba ya simu ndo sifa ya usukuma?

Makabila yote hayawezi kufanana kutokana na utofauti wa tamaduni na malezi.

Nyie wazaramo wa Chole Samvula, Kwala na nyie mna sifa zenu ambazo kwa wengine ni kero.
Utamzodoaje binadamu mwenzio mpaka kuzimia? 😁😁
 
Sasa mkuu, kukosea namba ya simu ndo sifa ya usukuma?

Makabila yote hayawezi kufanana kutokana na utofauti wa tamaduni na malezi.

Nyie wazaramo wa Chole Samvula, Kwala na nyie mna sifa zenu ambazo kwa wengine ni kero.
Utamzodoaje binadamu mwenzio mpaka kuzimia? 😁😁
😂🏃
 
Huo ndiyo uwakilishi: maana yake wanawakilishi hali halisi ya wakaazi wa maeneo hayo..!
 
Ni sawa ila hii darasa la saba ina maanisha nini kwa wasukuma? Wapo wasomi wengi sana usukumani ila ni kwanini hawachaguliwi?

Jibu ni kwamba kuna tatizo kwa wanaochagua na wachaguliwa pia. Niseme tu kifupi kuwa wasukuma wana namna zao za kupata chochote wakitakacho, mtu akitumia njia hiyo basi watu hubaki wakishangaa amepataje kitu hicho au nafasi hiyo. Hizo namna zipo pia kwenye makabila mengine kwa viwango tofauti tofauti.
😆🤣 Nimeshaelewa hiyo kitu Mkuu. Ni Ile ambayo Wasomi wa hapa JF wanasema haipo, eti ni rumors za watu tu.
 
Ila twende mbeoe turudi nyuma Mbunge inakuwake awe darasa la 7 seriously...Ivi Miswada ya Sheria kweli ipitishwe na Darasa la 7
Uliangalia kwakweli unaona siyo poa. Ila kwavile Katiba ina loophole ya kwamba Mwakilishi wa Wananchi Bungeni (Mbunge) anapaswa awe na elimu ya darasa la 7 na kuendelea. Ndo maana Chadema wanataka yawepo mabadiliko ya Katiba.
 
Swala ni darasa d



Swala ni darasa au lugha? Mm ni darasa la Saba nimefanya kazi na mnayemwita msomi wa UDOM Pale Morogoro 21st century Maboss wetu ni wahindi mpaka leo. Nilikuwa na uwezo wa kupokea maelekezo ya kazi na kutoa maelezo ya kazi kuliko huyo msomi Kwa issue ya lugha. MSITUDHARAU wengine tulifaulu ila hatukuchaguliwa. Wakati huo siyo kila aliyefaulu alichaguliwa nafasi zilikuwa chache. Ok naamini tunahitaji wenye uchungu na nchi. Hv Tulia na Mbunge Msukuma bora Nan? Hv Tulia na huyo Mbunge aliyemsimamisha vikao 15 nani bora?
Ulichokisema na sahihi.Mimi niko upande wako tangu mwanzo nadhani ulinielewa vibaya.Jaribu kusoma upya comments zangu.
 
Back
Top Bottom