Ana akili za kizamani sana huyu mwehu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Iran na Majirani wote wa Israeli wameshindwa kuficha nyuklia na wataalamu wao ndio polepole aje na mbwembwe za eti kuficha kiwanda cha tunguli?
CHICKEN IQS! ... PERIOD!Mdau anapima upepo,sema ameanzia mbali kwa kupiga dongo,itakuwa ameanza kusafisha mataka za masikio.
Kweli kabisa. Jamaa bado yuko kwenye awamu ya 5. Atakuwa yupo kwenye ndoto.... Bado hajaamini.Polepole Corona is not a local problem, wake up, it's a global problem, and therefore it must be solved globally.
Jiwe aliwaharibu sana wapuuzi hawa na wakajenga 'iron curtain' kati ya raia na SERIKALI YAO kwa kutumia JESHI LA WANANCHI!Jeshi jeshi, kujenga ukuta jeshi, kununua korosho jeshi, kulinda bank jeshi, mlitaka kuweka mabasi ya jeshi kusafirisha abiria.
Ondoa upuuzi wako hapa.
Hivi hiyo Vita ipigwe Tanzania tu mna nini zaidi ya nçhi nyingine Africa?
Kiwanda ni Cha watanzani kijengwe uraiani
huyu mjane ni tatizo sanasidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Mshitueni huyo polepole mwambie kumekucha Yale ya cjui vita vya kiuchumi ishapitwa na wakati UTOPIAN THINKERMbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.
Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.
"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole
Mkuu naomba unijibu. Tanzania kujitengenezea dawa yake shida iko wapi? Mbona India imejitengenezea chanjo hujalalamika?
Mpaka lini tutaacha kutegemea nchi zingine?
Hivi si alishaamrisha corona kama haitaki kuondoka basi ibaki kwa nidhani kama magonjwa mwengine? Haikumsikia tu? BTW Magufuli alikufa kwa corona kwa sababu wapambe wajinga kama huyu.sidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Dawa au chanjo haitengenezwi kwa matamko ya wanasiasa. Kwa kifupi hayo mambo yanafanywa kwa kutumia utaalam.Mkuu naomba unijibu. Tanzania kujitengenezea dawa yake shida iko wapi? Mbona India imejitengenezea chanjo hujalalamika?
Mpaka lini tutaacha kutegemea nchi zingine?
Amewaambia wote waliofuata global solution wamefail and we are better off .mbona hamuelewi? Vi njia vyetu vile vile vimetuweka pahala Safi .nenda Uganda ukachunguliePolepole Corona is not a local problem, wake up, it's a global problem, and therefore it must be solved globally.
Uganda waliambiwa Mungu ana kazi nyingi za kufanya.Tanzania pekee dunia nzima ndiyo iliweka imani katika Mungu na kumuomba na tukafanikiwa kwa hiyo tusibeze. Huku kwenda na dunia ni kuzipata pesa zao tu wanazotoa lakini tiba ni kufuata ushauri wa kisayansi na kumuomba Mungu tu.Amewaambia wote waliofuata global solution wamefail and we are better off .mbona hamuelewi? Vi njia vyetu vile vile vimetuweka pahala Safi .nenda Uganda ukachungulie
Kavae barakoa binti.Huna lolote Wewe mchawi, hata hiyo ‘hundred years to come’, uliyo maliza nayo, ni Kizungu!!
yaani wewe na pole pole hata akili za kuvukia barabara hamna nahisiYupo sahihi [emoji817] na huo ndo ukwel wote
Hivi hii njia ya kutumia panya ni ss ndo tuliivumbua au wenzetu weshawatumia miaka ya enzi za mbali yaaani?Duniani koote, wanasayansi wakubwa wanapatikana jeshini. Kwa kiwango fulani yuko sahihi. Tunapaswa na sisi kufanya kitu kuhusu janga hili. Siyo kusubiria tu. Jana nilikuwa nasikiliza DW Radio wanasema Tanzania wameanza kufanya utafiti kutumia panya kubaini maambukizi ya uviko-19. Walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwenye TB, sasa wanafanya kwenye uviko 19. Wataalam wa SUA wanasema mafanikio yanaonekana. Panya wataweza kufanya kazi hiyo na kwa ufanisi.
Ninavyojua ni kuwa hakuna "dawa" ya corona mpaka sasa. Kirusi hiki hakina kinga au dawa zaidi ya kinga ya mwili wako na ndiyo maana ya chakula bora, virutubisho, mazoezi na kujikinga ( barakoa, social distancing, kunawa kwa sabuni au sanitizer) na kupunguza viral load kwa kufukiza au kusukutua kwa maji ya chumvi. Dawa zinasaidia kwa kiasi kikubwa lakini kirusi kinaendelea kujibadili badili na utafiti bado unaendelea huko kwa wenzetu walioendelea.sina hakika kama huku tunaendelea na utafiti wa miti shamba.yaani wewe na pole pole hata akili za kuvukia barabara hamna nahisi
Yaani mbaka leo hii anaamini corona inatibiwa na hayo madawa ya Asili?!
Upuuzi Kama huu utaukuta mataga fc kama hio njia aliyoshauri ingekua na Tija wachina wangekua wameimaliza corona mapema maana kwa miti shamba wao ndio the best kuliko hata watu pori toka chattle mabatini!
Ni kweli hapa ndiyo shida ilipo.Kudharau kabisa zile local attemptSio mbaya kuanzisha viwanda vyetu hasa vya dawa zitokanazo na tiba asili japo kwasasa ngumu sioni Mama akidili na tiba asili ye anawaza za Ujerumai na America kuwa ndiyo bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna shida ya kuficha, ilihali kinatoa product zilizo bora,na Wala sio Jambo jipya that'sMbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.
Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.
"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole