Umetumia βbintiβ kwa nia ya kunidhalilisha au kunikera? Kwa taarifa yako, mama yangu alikuwa binti, nimeoa binti ya Mtu, na nina mabinti zangu wawili, nnao wapenda sana! Kwa hivyo, kuniita binti, pamoja na kwamba mimi ni mwanaume, hakunikeri, kama ulivyo kusudia, bali kunaonesha βujimaβ Wako wa kijinga na udhalilishaji na dharau kwa wanawake!Kavae barakoa binti.
Umevaa barakoa au unabwata tu hovyo mitandaoni?Umetumia βbintiβ kwa nia ya kunidhalilisha au kunikera? Kwa taarifa yako, mama yangu alikuwa binti, nimeoa binti ya Mtu, na nina mabinti zangu wawili, nnao wapenda sana! Kwa hivyo, kuniita binti, pamoja na kwamba mimi ni mwanaume, hakunikeri, kama ulivyo kusudia, bali kunaonesha βujimaβ Wako wa kijinga na udhalilishaji na dharau kwa wanawake!
Mbumbumbu wewe, babu zako waliishi kwa kula mizizi mpaka wewe ukazaliwa mbona hawakufa?yaani wewe na pole pole hata akili za kuvukia barabara hamna nahisi
Yaani mpaka leo hii anaamini corona inatibiwa na hayo madawa ya Asili?!
Mtoto mdogo wewe hujui dunia inavyokwenda!Ni nani akuhujumu kiwanda cha kutengeneza juice zitokanazo na mimea? Kama kweli tuna dawa ya kutibu corona, kwa nini tusiweke wazi ili zifanyiwe majaribio na vyombo vinavyotambulika kimataifa?.
Kati ya Mimi na wewe Nani mbumbumbu ?Mbumbumbu wewe, babu zako waliishi kwa kula mizizi mpaka wewe ukazaliwa mbona hawakufa?
Mizizi, majani ya miti na magome zote ni dawa za asili na zinatibu kwa ufasaha unaotakiwa.
Umeshakaririshwa kwamba ili upone lazima unywe madawa kutoka Washington DC!
Wakikupa dawa ya muarobaini hutaki, ati wewe ni msomi!!
Msomi gani mjinga tu wewe. Ukishamiliki hako katekno ukaweza na ku google madesa basi na wewe unajitia mjuaji.
Huyu hapasidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Umeongea kama bibi yangu aliye kijijini yani umeshindwa kujua Tanzania hatuko kwenye Target yoyote kwa hawa jamaa tusingekuwa tulivo hivi.Zinduka wewe, hao wazungu wanafanya biashara ya madawa pamoja na ujasusi wa kibayolojia.
Hiyo corona kama ingekuwa ni gonjwa la hatari kiasi hicho tungeshuhudia watu wanakufa hovyo huku mitaani.
Ndio maana mabeberu wako bize wanapika takwimu bandia za vifo ili watu wajae hofu. It is propaganda!
Hafi mtu hapa. Hayo machanjo yenye sumu mkajichanje na mama zenu.
We are very fine here. Mtajibaraguza na hayo machanjo yenu uchwara lakini hamtafanikiwa.
Wanakuja wajinga hapa ati ooohhh tunataka chanjo ili tuzuie maambukizi!
Maambukizi? seriously!?
Hayo maambukizi yako wapi mbona mimi siyaoni!?
Umeongea kama bibi yangu aliye kijijini
Ndio maana nimekuita mbumbumbu.Kati ya Mimi na wewe Nani mbumbumbu ?
Tunazungumzia kirusi Cha covid wewe unaleta blaa blaa za mababu zako wa kishumundu wa karne hizo
Hao babu zako waliwahi umwa corona?
Kimtu kikishamiliki simu ya kioo basi kinajifanya kimeshakuwa kisomi na chenye weledi!
Wengine humu hata kuandika hamjui lakini mpo tu mnajitutumua hovyo hovyo.
Dunia ni zaidi ya uijuavyo binti. Tunaijua kuliko wengi wenu humu vinyangarika msiojua chochote zaidi ya kula na kujamba.
Ati sitaki majani ya muarobaini nataka chanjo ya ujeremani!!!
Piga muarobaini wako swaafiii kabisa, you will stay safe and healthy!
Kujitia tia tu usomi wa kuigiza hapa!
Ooohhh nataka chanjo ya jeremani!!
Chanjo ya jeremani???? Tengeneza ya kwako halafu tutaiita "santesandy vaccine" au kwa kimang'ati tutasema ni "chanjo ya santesandy".
Si unajiita msomi wewe?
Unalilia lilia tu machanjo ya watu hujui hata yametoka wapi unabugia bugia tu hovyo hovyo!
Wewe ndio una akili sana.?!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] akikutana na wajinga lazima wamuamini
Ngoja nkuhifadhi mkuuyaani wewe na pole pole hata akili za kuvukia barabara hamna nahisi
Yaani mbaka leo hii anaamini corona inatibiwa na hayo madawa ya Asili?!
Upuuzi Kama huu utaukuta mataga fc kama hio njia aliyoshauri ingekua na Tija wachina wangekua wameimaliza corona mapema maana kwa miti shamba wao ndio the best kuliko hata watu pori toka chattle mabatini!
Mtu pori toka chattle mabatini aliwaharibu akili watu Kama ninyi mbaka mnashindwa kutumia bongo zenu vizuriNdio maana nimekuita mbumbumbu.
Unazidi kujidhihirisha mubashara namna ulivyo kichwa-box.
"Usomi" kwa mujibu wa hawa nyumbu wa mtandaoni, ni kumeza machanjo bila kuuliza.
Doh...umemvua nguo mangi mchana kweupee kabakia kukenua meno yake yaliyobungua kutokana na kunywa mbege iliyochacha.Duniani koote, wanasayansi wakubwa wanapatikana jeshini. Kwa kiwango fulani yuko sahihi. Tunapaswa na sisi kufanya kitu kuhusu janga hili. Siyo kusubiria tu. Jana nilikuwa nasikiliza DW Radio wanasema Tanzania wameanza kufanya utafiti kutumia panya kubaini maambukizi ya uviko-19. Walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwenye TB, sasa wanafanya kwenye uviko 19. Wataalam wa SUA wanasema mafanikio yanaonekana. Panya wataweza kufanya kazi hiyo na kwa ufanisi.
Ndio, mimi ni kichwa β si unaona ninavyowakimbiza humu mpaka wametulia tuli?Halafu unajiona kichwa humu jamvini