Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Tuliwaheshimu Polepole na mwenzake kutoka CUF anaitwa Bashiru kwa sababu tu aliyewateuwa tulikuwa tunamheshimu, Magufuli alimteuwa Bashiru Kutoka Cuf kuja kutuhoji kuhusu mali za chama nikamgomea kunihoji nikamwambia yeye sio mwana CCM" Abdallah Bulembo.Muhuni mmoja kawekwa hadharani.
Hapana tangu lini Mchungaji akahojiwa na Ustadhi kuhusu Ukristo."Tuliwaheshimu Polepole na mwenzake kutoka CUF anaitwa Bashiru kwa sababu tu aliyewateuwa tulikuwa tunamheshimu, Magufuli alimteuwa Bashiru Kutoka Cuf kuja kutuhoji kuhusu mali za chama nikamgomea kunihoji nikamwambia yeye sio mwana CCM" Abdallah Bulembo.
Hapo kwenye red...kweli Bulembo ameekili yeye ni MHUNI!
fita ni fita muraaa... fita imefikia patamu !!Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.
"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
wawe makini, hayupo peke yake huyu !! katangulia tu vigogo wapo nyuma.Jumamosi ndio msema kweli ( 18/12/2021)
mi nipo team wahuniAisee niko Team Kiroboto
Diko babaake 😂😂Bulembo kwanini amebadilika sasa hivi? Mbona kuna wakati alikuwa anaunga mkono juhudi?
Huwa nashangaa baadhi ya watu wana dhani hawa waheshimiwa hawaelewani kweliCcm wana akili sana wameua mikutano ya vyama vya siasa ili waanzishe minyukano yao na sisi tunashabikia!!!
Hahaa wewe huwajui ccm wote wachumia tumbo.Bulembo kwanini amebadilika sasa hivi? Mbona kuna wakati alikuwa anaunga mkono juhudi?
Kiroboto Hana maisha marefuAisee niko Team Kiroboto
Unaijua viieite wewe?Hivi ndg. Polepole amesahau UHUNI wake wa KUWARUBUNI wabunge wa UPINZANI?!!!
Hivi ndg. Polepole amesahau UHUNI wake WA KUWAAHIDI VYEO WAGOMBEA WA UBUNGE VITI MAALUM?!!!
Huyu ndugu yetu kweli ni LOPOLOPO.........
Kama kweli wewe unaona ujinga kama huu ndiyo ''akili sana'' basi tukupe pole nyingi.Ccm wana akili sana wameua mikutano ya vyama vya siasa ili waanzishe minyukano yao na sisi tunashabikia!!!