Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Kwani hao ccm ruzuku wanapata sh ngapi kila mwaka kutoka serikalini
 
Kwani na tundu lisu si alikuwa anatoa naomi yake yake ambayo kisheria yaliruhusiwa??? Mbona alimimiwa risasi kama kifaru na akaitwa majina yote mabaya?????
Ccm wanafiki sana
 
If he’s so irrelevant and such a worthless piece of shit, why are you all obsessing on him then? Let him do his Shule ya Uongozi thing in peace.
 
Aje tuu tushirikiane kupata katiba mpya, na darasa la uongozi liwe darasa la umuhimu wa Katiba mpya, labda tutamuelewa
 
If he’s so irrelevant and such a worthless piece of shit, why are you all obsessing on him then? Let him do his Shule ya Uongozi thing in peace.
When shit hits the ceiling fan, one has got to protest-at the consequenes, abnoxious smell all over!
 
Ukiona wahuni hamlali mko bize nae hadi kumvamia basi jua mzalendo huyu polepole anawanyima usingizi.
Unaweza bisha ukitaka ila mpaka umepata muda wa kumfungulia uzi ni wazi jamaa anakupa wakati mgumu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…