Uchaguzi 2020 Polepole: Kuna mgombea mmoja amekimbia yupo nje ya nchi, ameona maji yamemfika shingoni. CCM tunafanya kampeni za kisayansi

Uchaguzi 2020 Polepole: Kuna mgombea mmoja amekimbia yupo nje ya nchi, ameona maji yamemfika shingoni. CCM tunafanya kampeni za kisayansi

Sasa kweli kumekucha baada ya tathmini iliyotolewa jana na vyombo vya kimataifa vinavyofuatilia kampeni za Uchaguzi hapa Tanzania,Chama Cha Mapinduzi kimeonekana kushuka sana na kukifanya kionekane kinazidi kuachwa mkono na wananchi na kimekuwa na asilimia 27.

Mwitikio wa wananchi umeonekana kushuka sana mbali ya kuwepo wasanii wa kila aina tofauti na siku ya uzinduzi huku Chadema wakionekana kuzidisha idadi ya wanaohudhuria kila wanaposogelea tarehe ya uchaguzi.

Tathmini Hio imeonyesha kupanda kwa chati ya mgombea wa Chadema kwa asilimia 71 huku ACT wazalendo mgombea wao haijulikani alipo na vyama vingine vikibaki na asilimia mbili.
Ccm Ni wahuni tu,
 
Title haiendani na main body ya thread hii! Vitaje, vyombo hivyo vya kimataifa tuanze kufuatia!
 
Sasa kweli kumekucha baada ya tathmini iliyotolewa jana na vyombo vya kimataifa vinavyofuatilia kampeni za Uchaguzi hapa Tanzania,Chama Cha Mapinduzi kimeonekana kushuka sana na kukifanya kionekane kinazidi kuachwa mkono na wananchi na kimekuwa na asilimia 27.

Mwitikio wa wananchi umeonekana kushuka sana mbali ya kuwepo wasanii wa kila aina tofauti na siku ya uzinduzi huku Chadema wakionekana kuzidisha idadi ya wanaohudhuria kila wanaposogelea tarehe ya uchaguzi.

Tathmini Hio imeonyesha kupanda kwa chati ya mgombea wa Chadema kwa asilimia 71 huku ACT wazalendo mgombea wao haijulikani alipo na vyama vingine vikibaki na asilimia mbili.
Mgombea wao kakimbia kampeni chezeya lissu wewe?
 
Me ni sawa na babu yako!! Yaani nilimzalisha mama wa baba yako!!

Wewe UVCCM mbona kama umepaniki hivi! Ni baada ya mgombea wako kukimbilia mafichoni baada ya pumzi kukata, au ni kwa sababu ya kutolipwa ujira wako wa buku 7 kwa wakati?
 
Sasa kweli kumekucha baada ya tathmini iliyotolewa jana na vyombo vya kimataifa vinavyofuatilia kampeni za Uchaguzi hapa Tanzania,Chama Cha Mapinduzi kimeonekana kushuka sana na kukifanya kionekane kinazidi kuachwa mkono na wananchi na kimekuwa na asilimia 27.

Mwitikio wa wananchi umeonekana kushuka sana mbali ya kuwepo wasanii wa kila aina tofauti na siku ya uzinduzi huku Chadema wakionekana kuzidisha idadi ya wanaohudhuria kila wanaposogelea tarehe ya uchaguzi.

Tathmini Hio imeonyesha kupanda kwa chati ya mgombea wa Chadema kwa asilimia 71 huku ACT wazalendo mgombea wao haijulikani alipo na vyama vingine vikibaki na asilimia mbili.

Huu unaweza kuwa ukweli mtupu ila ungeweka link ingekuwa hoja hii ingekuwa na nguvu zaidi!
 
Back
Top Bottom