Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunguli zimejamm this time.Mapuuza yamealikana kama yote halafu yanaongea utopolo tupu
Tunaeleza nini tutalifanyia taifa, hatupo kwenye kujibizana na vitoto kisiasaJibuni hoja za Lisu siyo kupuyanga
Aliyetamba akisikika twende na Membe 2020, jasusi asiyeshindwa ni nani?
Member ni jembe letu hakuna mwingine.
Leo unamkana Membe?
Nani kusubiri takataka za Chakubanga? Huyu ambaye Lipumbavu amedai njaa imeshampanda kichwani?Ni jambo jema!
Hata Tundu Lisu anaisubiria hotuba ya Polepole, kasitisha kampeni kwa muda!
Punguza jazba, Chadema mnavuna mlichopanda. Kama unamjibu mtu jibu bila jazba.Tafuta popote nilipowahi kumfagilia Membe hata kwa utani, ukipapata nipigwe ban ya maisha hapa jf. Hiyo ni kuanzia nilipojiunga hapa jf miaka 9 iliyopita.
Punguza jazba, Chadema mnavuna mlichopanda. Kama unamjibu mtu jibu bila jazba.
Kwa kutumia lugha ya kisukuma kwenye maeneo ya nyumbani.Kampeni za CCM 2020 tunazifanya kisayansi,
Wanajificha kwenye shamba karanga.Mwaka 2015 sukari kilo 1500 mwaka 2020 sukari kilo 3000. Hongera kwa kudhibiti mfumuko wa bei
An old wine is best wine.Old wine in an old bottle.
Ukionekana huandiki unanyang'anywa press card.Aisee nimecheka sana ..kuna waandishi eti wana note hotuba ya Polepole!!
Yaani huwezi amini CCM wanaamini anachoongea sasa hivi polepole ni bonge la point.
Tuna safari ndefu sana
Mtu akijibu kwa jazba anajulikana.Jazba gani iko hapo? Au unaona black & white tu nini?
Tujiulize. Mkutano unafanyika chato ambako hakuna chombo chochote chenye makazi yake huko. Sasa hawa waandishi walioko huko wamefikaje?
Ndio ile inayosemwa: Anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo.
Ukitaka kulifahamu hili angalia aina ya maswali yaliyoulizwa.
Mtu akijibu kwa jazba anajulikana.
Yaani kwamba na sisi tutakuwa mabeberu ama?"Nchi hii itakuwa zaidi ya Ulaya ndani ya muda mfupi". Mwisho wa kunukuu.
Ccm wanatuona watanzania wapumbavu sana.
Yaani very soon!Yaani kwamba na sisi tutakuwa mabeberu ama?