Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ana handbag tu mbonaNaomba kuwasilisha....View attachment 1566086
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana handbag tu mbonaNaomba kuwasilisha....View attachment 1566086
MAGUFULI TANO TENA MAKE SURE U VOTE FOR HIMYou sounds so naive, seems you are a teenager.
NEC haijazuia kusherekea mafanikio ya miaka mitano. Ndiyo maana kunakuwa na sherehe mwanzoni baadaye kampeni ndipo zinafanywa. Upo?kinyume na sheria za NEC,
Mara hii mmeishakubali matokeo ya kushindwa? Jivuteni basi kidogo..!...ama wakae meza moja...
Hoja gani? Na kwa nini unataka zijibiwe na Polepole?Jibuni hoja za Lisu siyo kupuyanga
Mwambie baba yako ajibuHoja gani? Na kwa nini unataka zijibiwe na Polepole?
Sasa hili litampatia vipi kura? Mpaka wewe ushupae kuwa analeta challenge kwa JPM? Hujui kuwa wananchi wengi wanataka aongezewe muda ili akamilishe haya mazuri anayokufanyia wewe na watanzania kwa ujumla? Yeye ameshasema hataongeza na atafuata katiba ya JMT. Sasa huyu analeta uongo gani majukwaani.Ndio na hiyo ndio maana ya kampeni, lazima ujiuze ww na kutoa mapungufu ya mpinzani wako. Hoja ya Magufuli kuongezewa muda inaongelewa hadharani na hata bungeni. Kwenye kampeni ndio platform sahihi ya kuaddres hatari hiyo. Kama kuongezewa muda wa kukaa madarakani sio hoja ya msingi, mzee Mwinyi na mzee Pinda wasingetaka aongezewe muda, na huko bungeni lisingeongelewa zaidi ya mara moja, tena hadi kufikia kuzungumzwa na spika ndani ya bunge.
CCM wanahamisha magoli tu .......!!JANA TUMEAMBIWA NA MZEE MAKAMBA KUWA UWANJA WA NDEGE WA CHATO HAUJAJENGWA NA SERIKALI YA MAGUFULI BALI UMEJENGWA NA CCM.
Pascal MayallaTanzania waandishi wa habari ni wawili au watatu.
Jenerali Ulimwengu.
Hamza Kassongo.
Dotto Bulendu.
Uandishi wa habari kwa sasa hauna tofauti na upolisi.
Zero na daraja la 4 la mwisho ndio wanakimbilia upolisi na uandishi wa habari.
Atakayepinga aweke ushahidi.