Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu ndio mtu pekee wa kuwatoa nishao malaghai ya maccm...Ni jambo jema!
Hata Tundu Lisu anaisubiria hotuba ya Polepole, kasitisha kampeni kwa muda!
Alafu utasikia vyombo vya habari kama vyote ,mpaka ITVccm wakiipa kipaumbele hii Habari.Hivi kuna watu wanaweza kupoteza muda kumsikiliza polepole?
ndugai atafanya kampeni jimbo gani? nani anamjua? kwa lipi? wangekuwepo Mh. Sitta hapo sawa.
Tanzania waandishi wa habari ni wawili au watatu.Aisee nimecheka sana ..kuna waandishi eti wana note hotuba ya polepole!!
Tundu Lissu ni Mtanzania kutokea Singida na isingekua zile risasi 16 wala hakua na mpango wa kwenda UbeligijiTunasubiri tu muda ukifika naye mbelgiji arudi kwao.
Hii ni campaign kwa namna nyingine, CCM wamevurugwa na wamevurugika. Lissu anawatesa sanaIn short huyo Chakubanga amepanic 🤣
KWELI MKUU..SERIOUSLY MTU UNANOTE NA KUSIKILIZA KEENLY!!Tanzania waandishi wa habari ni wawili au watatu.
Jenerali Ulimwengu.
Hamza Kassongo.
Dotto Bulendu.
Uandishi wa habari kwa sasa hauna tofauti na upolisi.
Zero na daraja la 4 la mwisho ndio wanakimbilia upolisi na uandishi wa habari.
Atakayepinga aweke ushahidi.
We dogo tumia common sense. Lissu analeta upinzani gani kwa JPM? Kwa mkutano kama wa Bagamoyo jana unaweza kusema analeta challenge zozote.Polepole aache kusaka pointi za mezani, huyo Membe hajawahi kuwa mshindani wa kweli wa Magufuli. Mshindani wa kweli wa Magufuli ni Lisu. Kama Membe alishindana na Magufuli, basi ni wakati akiwa ccm sio nje ya hapo. Huyo Membe hata angekuwa anapiga kampeni usiku na mchana hana lolote jipya, hivyo asijifanye eti kakimbia kwa kuwaogopa ccm.
wanajua kabisa anaongea ugoro hapo wanamvizia wampige bahasha za kakiAisee nimecheka sana ..kuna waandishi eti wana note hotuba ya polepole!!
Takataka hiiUkisema kushuka kwa Diplomasia ni uongo, Mhe Magufuli ameingia tu madarakani akapewa Uenyekiti wa EAC, ameendeleza mwendo wa kubana matumizi, miradi mikubwa imefanyika, ameacha alama, SADC amefanya mambo makubwa, MSD inapeleka dawa nchi zote za SADC." - Humphrey Polepole.