Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Nimesikiliza nimeishia njiani. Ngoja nisake life kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mfumuko wa bei kutoka 2015? bidhaa haiongezeki ... hapo cha ajabu waandishi hawawezi kuhoji
Tanzania waandishi wa habari ni wawili au watatu.
Jenerali Ulimwengu.
Hamza Kassongo.
Dotto Bulendu.
Uandishi wa habari kwa sasa hauna tofauti na upolisi.
Zero na daraja la 4 la mwisho ndio wanakimbilia upolisi na uandishi wa habari.
Atakayepinga aweke ushahidi.
Mkutano usio na fiesta, watoto wa shule Wala watumishi, bila kusomba na Malori na mabasi, bila kutoa hela na t-shirt bureWe dogo tumia common sense. Lissu analeta upinzani gani kwa JPM? Kwa mkutano kama wa Bagamoyo jana unaweza kusema analeta challenge zozote.
maji yamewafika shingoni hao, wanahara tu hawana jpya, sasa kampeni gani za kisayansi wanafanyaMapuuza yamealikana kama yote halafu yanaongea utopolo tupu
haja?Mapuuza yamealikana kama yote halafu yanaongea utopolo tupu
MGUFULI hana Mpinzani Yani Haka Ka Lissu kawe Kapinzani ka MAGUFULI kah Acheni DharauPolepole aache kusaka pointi za mezani, huyo Membe hajawahi kuwa mshindani wa kweli wa Magufuli. Mshindani wa kweli wa Magufuli ni Lisu. Kama Membe alishindana na Magufuli, basi ni wakati akiwa ccm sio nje ya hapo. Huyo Membe hata angekuwa anapiga kampeni usiku na mchana hana lolote jipya, hivyo asijifanye eti kakimbia kwa kuwaogopa ccm.
Hoja gani za msingi ambazo anazitoa huyu mgombea wa chama cha Mbowe? Inaingia akilini kuwaambia wananchi kuwa wasimchague JPM kisa atabadili katiba ili aongeze muda wa kukaa madarakani?
Kampeni za CCM 2020 tunazifanya kisayansi, tumegawanya viongozi waandamizi wa chama kwenye maeneo tofauti. Msafara mkuu unaongozwa na Dkt. Magufuli, msafara mwingine wa Mhe. Samia Suluhu, na mwingine unaongozwa na Kassim Majaliwa, sisi hatutumii chopa." - Humphrey Polepole.
Mzee Jakaya Kikwete yupo Ukanda wa Kusini kule anavuruga, Mzee Pinda na Spika Job Ndugai nao wanaendelea. Muziki ni mzito mpaka sasa tunapozungumza kuna mgombea mmoja amekimbia yupo nje ya nchi, ameona maji yamemfika shingoni, tunafanya kampenzi za kisayansi." -Humphrey Polepole
Tangu Mhe. Magufuli aingie madarakani hakujawa na mfumuko wa bei, tumefanya kazi nzuri mno, bidhaa haiongezeki, Mhe. Magufuli amefuta kodi kwa wenye mishara midogo, hawa wanaosema ni wapotoshaji, tumelazimika kuwajibu, tunawaambia wasifanye siasa na hivyo." - Humphrey Polepole.
"Ukisema kushuka kwa Diplomasia ni uongo, Mhe Magufuli ameingia tu madarakani akapewa Uenyekiti wa EAC, ameendeleza mwendo wa kubana matumizi, miradi mikubwa imefanyika, ameacha alama, SADC amefanya mambo makubwa, MSD inapeleka dawa nchi zote za SADC." - Humphrey Polepole.
Tumefuatilia na kujiridhisha kwamba ni uongo mtupu, na TCAA imeshatoa ufafanuzi, lakini unajiuliza nini dhamira ya kusema uongo, kwamba mmezuiliwa kwenda kufanya kampeni maana yake unataka kupandikiza chuki, na hata hakukuwa na mpango wa safari"
MGUFULI hana Mpinzani Yani Haka Ka Lissu kawe Kapinzani ka MAGUFULI kah Acheni Dharau
JANA TUMEAMBIWA NA MZEE MAKAMBA KUWA UWANJA WA NDEGE WA CHATO HAUJAJENGWA NA SERIKALI YA MAGUFULI BALI UMEJENGWA NA CCM.Slow Slow anaongelea viwanja vya ndege viivyojengwa lakini anazunguka zunguka tu anashindwa kuutaja uwanja wa Chato ......!!
Msiwe na hofu na kura za watumishi. Acha walazimishwe tu 'kuongeza idadi ya vichwa' Ila kwenye chumba cha kupigia kura hawatosindikizwa na greenguard.Mkutano usio na fiesta, watoto wa shule Wala watumishi, bila kusomba na Malori na mabasi, bila kutoa hela na t-shirt bure
Mkutano ambao watu wanaalikana kwa wasap
Ucho maliwato ya city nimtume mtu akuletee toilet paper?Hasira zimekushika mpaka unataka kwenda haja?
haja?
HahahaYaani huwezi amini CCM wanaamini anachoongea sasa hivi polepole ni bonge la point.
Tuna safari ndefu sana
Sasa usipomsikiliza unawezaje kusema hafai?Hivi kuna watu wanaweza kupoteza muda kumsikiliza Polepole?
Ndugai atafanya kampeni jimbo gani? Nani anamjua? kwa lipi? Wangekuwepo Mh. Sitta hapo sawa.