Tetesi: Polepole na Dkt. Hassan Abbas wanawatisha watu wa media

Tetesi: Polepole na Dkt. Hassan Abbas wanawatisha watu wa media

Kama TCRA wanapata ip address yangu, kipi kinawafanya walazimishe Melo awape taarifa za user aliyeleta taarifa za Oilcom? Kwanini wasifuate hiyo ip address ya huyo user, badala ya kumshitaki Melo ili kupata details za user? Kaa kimya maana huna ujualo.
Hizo ni criminal case procedural. Lakini kama wazee wangekuwa na nia na huyo jamaa wanampata.Ndio maana hata hakimu alisema kosa ni kuchelewesha ushahidi sio kwamba polisi walishindwa kupata Ip adress.
 
Ahaaaa.Lazima kuna maadili alikiuka maana mbona wengine hawanyag'anywi?
Mimi hoja yangu hapa ni kuwa Tanzania sio nchi ya kiimla. Ndio maana platforms kama JF zipo huru. Huyo Paschally kuna sehemu alibugi.

Maadili gani, au unadhani hatuelewi kinachoendelea? Si walizifunga hapa tukahamia Kenya talk? Sio kwamba wanaitaka hii jf, ila technology sio rafiki wa tabia zao ovu maana tutahamia platform nyingine mamilioni kwa mamilioni hapa duniani.
 
Kama TCRA wanapata ip address yangu, kipi kinawafanya walazimishe Melo awape taarifa za user aliyeleta taarifa za Oilcom? Kwanini wasifuate hiyo ip address ya huyo user, badala ya kumshitaki Melo ili kupata details za user? Kaa kimya maana huna ujualo.
Hizo ni criminal case procedural. Lakini kama wazee wangekuwa na nia na huyo jamaa wanampata.Ndio maana hata hakimu alisema kosa ni kuchelewesha ushahidi sio kwamba polisi walishindwa kupata Ip adress.
 
Ameen Ameen
Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu

Kuna audio ya Polepole nimesikilizishwa (japo source amegoma kuirusha kwambangu, hivyo sitoiweka hapa) na kuna namba ya simu ya Abbas na muda aliyopiga nimetajiwa.

Kama hii kitu ni kweli siyo uzushi, basi ni dhahiri shahili kwamba ccm na mawakala wao akina Abbas wana wasiwasi usio mithilika kiasi cha kukosa usingizi. Na hii inazidi kumpalilia njia Tundu Lisu

My take.
Kama Lisu ameshinda kifo cha risasi basi hata uchaguzi wa hila atashinda kwa kudra zake Mola. Amen!
 
Maadili gani, au unadhani hatuelewi kinachoendelea? Si walizifunga hapa tukahamia Kenya talk? Sio kwamba wanaitaka hii jf, ila technology sio rafiki wa tabia zao ovu maana tutahamia platform nyingine mamilioni kwa mamilioni hapa duniani.
tindo mimi ni mzee lakini unanishangaza sana. Mtu yupo Russia alafu anadukua server za bunge Usa. Ndio ije wewe na hiyo computer yako kisa server zipo Nbi?
 
Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu

Kuna audio ya Polepole nimesikilizishwa (japo source amegoma kuirusha kwambangu, hivyo sitoiweka hapa) na kuna namba ya simu ya Abbas na muda aliyopiga nimetajiwa.

Kama hii kitu ni kweli siyo uzushi, basi ni dhahiri shahili kwamba ccm na mawakala wao akina Abbas wana wasiwasi usio mithilika kiasi cha kukosa usingizi. Na hii inazidi kumpalilia njia Tundu Lisu

My take.
Kama Lisu ameshinda kifo cha risasi basi hata uchaguzi wa hila atashinda kwa kudra zake Mola. Amen!
Muombe sana huyo source yako akuruhusu utuwekee hiyo clip ili ifanyiwe kazi mara moja.

Hii itakuwa ndiyo dawa ya gonjwa sugu la hao watumwa wa fikra
 
Hizo ni criminal case procedural. Lakini kama wazee wangekuwa na nia na huyo jamaa wanampata.Ndio maana hata hakimu alisema kosa ni kuchelewesha ushahidi sio kwamba polisi walishindwa kupata Ip adress.

Wangeipata ip address wasingehangaika na Melo. Na baada ya Melo kulijua hilo, hata yeye kaondoa feature ya kuona details za user, ili hata staff wake wasio waaminifu wasitoe taarifa kinyume na haki ya faragha.
 
Wangeipata ip address wasingehangaika na Melo. Na baada ya Melo kulijua hilo, hata yeye kaondoa feature ya kuona details za user, ili hata staff wake wasio waaminifu wasitoe taarifa kinyume na haki ya faragha.
Ok hawawezi kupata ila Tanzania sio nchi ya kiimla.
 
Pamoja na yoteeeee tujiulize, kwani katibu mkuu wa wizara ya habari ni nani?

Ukijibu swali hili utajua nini maana ya uhuru wa habari kwa vyombo vya habari
 
Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu

Kuna audio ya Polepole nimesikilizishwa (japo source amegoma kuirusha kwambangu, hivyo sitoiweka hapa) na kuna namba ya simu ya Abbas na muda aliyopiga nimetajiwa.

Kama hii kitu ni kweli siyo uzushi, basi ni dhahiri shahili kwamba ccm na mawakala wao akina Abbas wana wasiwasi usio mithilika kiasi cha kukosa usingizi. Na hii inazidi kumpalilia njia Tundu Lisu

My take.
Kama Lisu ameshinda kifo cha risasi basi hata uchaguzi wa hila atashinda kwa kudra zake Mola. Amen!
binafsi nafikili kama ni kweli bado haisaidii hapa hoja ni ushauri madhubuti kwa mgombe wao kwamba anaenda vipi na kwa agenda zipi za kuwavuta wapiga kura basi, vinginevyo wajue kwa sasa clip ikitoka aijalishi vyombo vya habari ikisambazwa whatsapp ni dakika 10 tu imefikia watanzania m20 so washauliwe tu hakuna namna kama ni kweli
 
whatsapp ni dakika 10 tu imefikia watanzania m20 so washauliwe tu hakuna namna kama ni kweli
Yaah! Ni kweli mkuu kwa social media watu wengi watapata habari kwa haraka, lkn zaidi ni wa mijini. Tatizo litakuwa vijijini.
 
Back
Top Bottom