Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa na mm ndio huwa nashangaa, mnasema kuna nguvu ya umma(media nayo ni nguvu ya umma) Sasa nguvu ya umma inatishwaje??
Mkuu nadhani licha ya waliowengi vijijini kutokuwa na access na media lakini machungu na makali ya maisha wanayaona..itakuwa Ni kazi rahisi Kama kmsukuma mlevi endapo watagusiwa tu katika mkutano ya kijijini ni nini kilichosababisha Hadi Hali ikawa Tete kiasi hicho.Cahadema wafike kila kiijiji waambie mskusudio yao watanzania.
waliowengi vijiji hawana access za media watumia primitive way ya kuwasiliana na wananchi
mkuuu kweli nakubaliana na wewe but , elewa kuna kitu chadema walianaza cha chema ni msingi huko wametapakaa kama corona so unashangaa watu wanawabeza tu bila kuweka mikakati ya msingi so watapigwa na wasielewe makombora yanatoka wapi amini nakwambia na itakua mkuuYaah! Ni kweli mkuu kwa social media watu wengi watapata habari kwa haraka, lkn zaidi ni wa mijini. Tatizo litakuwa vijijini.
Boomerang effect will act for him regardless of all that will "thrown" to himMsaliti Lissu hapati kitu arudi tu huko kwa Mabeberu akatetee ushoga
Wapi?Huko kusikofahamika.
Hivyo tunavilipia kodi pia.Nyie chadema habari zenu zinarushwa na CCN, BBC na DW .
Sasa mnalalamika nini
Wewe pamoja na kuunga mkono hao wanaokandamiza uhuru wa watu lakini bado hujiamini unatumia tu ID feki sawa na wengine. What a hypocrisy.Ccm ingekuwa chama cha kiimla ungekuwa unatype huu uzushi? Office za Jf zingevamaiwa acha uzandiki wa kizamani.
Wanajua Lisu ameishashindaJamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu
Kuna audio ya Polepole nimesikilizishwa (japo source amegoma kuirusha kwangu, hivyo sitoiweka hapa) na kuna namba ya simu ya Abbas na muda aliyopiga nimetajiwa.
Kama hii kitu ni kweli siyo uzushi, basi ni dhahiri shahili kwamba ccm na mawakala wao akina Abbas wana wasiwasi usio mithilika kiasi cha kukosa usingizi. Na hii inazidi kumpalilia njia Tundu Lisu
My take.
Kama Lisu ameshinda kifo cha risasi basi hata uchaguzi wa hila atashinda kwa kudra zake Mola. Amen!
Una uhakika wanakandamiza watu? Na una uhakika hii ni Id fake?Wewe pamoja na kuunga mkono hao wanaokandamiza uhuru wa watu lakini bado hujiamini unatumia tu ID feki sawa na wengine. What a hypocrisy.
Umeshaula huo ubuyu au bado una?Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu
Kuna audio ya Polepole nimesikilizishwa (japo source amegoma kuirusha kwangu, hivyo sitoiweka hapa) na kuna namba ya simu ya Abbas na muda aliyopiga nimetajiwa.
Kama hii kitu ni kweli siyo uzushi, basi ni dhahiri shahili kwamba ccm na mawakala wao akina Abbas wana wasiwasi usio mithilika kiasi cha kukosa usingizi. Na hii inazidi kumpalilia njia Tundu Lisu
My take.
Kama Lisu ameshinda kifo cha risasi basi hata uchaguzi wa hila atashinda kwa kudra zake Mola. Amen!
Moja kati ya bandiko la hovyo kabisa kutokea hapa JF...mMsaliti Lissu hapati kitu arudi tu huko kwa Mabeberu akatetee ushoga
...huyu MKWEWE na Ndugai hovyo kabisaNgumu kumesaView attachment 1531298
Tena wanajua Sana tu. Ndiyo maana wamepaniki.Wanajua Lisu ameishashinda
Ubuyu maana yake ni taarifa (kiswahili kinakua mkuu).Umeshaula huo ubuyu au bado unao?
Chakubanga kila akiiona hii clip anatamani dunia igeuke juu chini...Lissu ndio Rais ajaye wa Tanzania
View attachment 1531292
Hapa pia ni haki kwa woteNyie chadema habari zenu zinarushwa na CCN, BBC na DW .
Sasa mnalalamika nini
CCMVyama vya kiimla au una maana gani?