Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hii shaghalabaghala niliwahi kuizungumza angalia tarehe...Kila jambo lisipokuwa na utaratibu linakuwa shaghalabaghala tu,
Machinga hawana utaratibu wa kufanya kazi zao currently, kila mahali wamezagaa tu, hamna utaratibu, siyo kwenye barabara, mirefereji, mbele ya biashara za wengine, hovyo hovyo tu,
Nchi iwe na utaratibu,, hawajanyimwa kufanya biashara, maana ni kama watu wanahisi kwamba wamenyimwa kufanya biashara, No,
Wawe kwenye utaratibu
Kwa muktadha wa mada uliyo mezani, naamini kabisa nimeeleweka naungana na nani.Unaungana na kina nani funguka...
Unaungana na Polepole, Musukuma na wamachinga.Hii shaghalabaghala niliwahi kuizungumza angalia tarehe...
Kwa muktadha wa mada uliyo mezani, naamini kabisa nimeeleweka naungana na nani.
P
Hii shaghalabaghala niliwahi kuizungumza angalia tarehe...Kila jambo lisipokuwa na utaratibu linakuwa shaghalabaghala tu,
Machinga hawana utaratibu wa kufanya kazi zao currently, kila mahali wamezagaa tu, hamna utaratibu, siyo kwenye barabara, mirefereji, mbele ya biashara za wengine, hovyo hovyo tu,
Nchi iwe na utaratibu,, hawajanyimwa kufanya biashara, maana ni kama watu wanahisi kwamba wamenyimwa kufanya biashara, No,
Wawe kwenye utaratibu
Umebugi maan!Mimi naungana nao, they are very right.
P
Unaungana nao kwahiyo mnataka hao machinga wawe na sheria zao tofauti na watu wengine kwamba wao wavunje sheria za nchi kadri watakavyo? Kumbuka hawajakatazwa kufanya biashara bali wasivunje sheria zilizopo kwa watu wote.Mimi naungana nao, they are very right.
P
Mkuu Jidu La Mabambasi , sitetei kabisa the anarchy and lawlessness, wala Polepole na Musukuma, nao pia hawatetei, tunachosema ni, maadam waliruhusiwa kufanya biashara holela na popote, sasa mambo yamebadilika, wawe treated fairly . Msivanjie vibanda vyao, msiwapore mali zao, na muwatafitie mahali karibu na masoko kufanya biashara, muwapange vizuri, wajengewe vibanda vizuri standard na uniform wafanye biashara zao rasmi na sio holela.Umebugi maan!
Biashara za Machinga ni kutetea anarchy and lawlessness.
Sikudhania Pascal Mayalla uwe mtu wa kutetea a political base called "wanyonge" ambao hawatafutiwi mbadala wa kuwaendeleza.
Bahati mbaya watu huwa hawafikirii zaidi kuwa this is a social issue ambayo ni migration ya vijana toka vijijini kuja mijini.
Vijana ni about 50% ya wananchi wte wa Tanzania, na walio wengi wakiamua kuwa machinga, unaweza kuona uzito wa tatizo.
Lakini Miji inaendeshwa na sheria.
Kuna sheria za biashara
Kuna sheria za makazi
una sheria za Traffic
Na kuna sheria za kuzuia uzururaji.
Mbya zaidi kna ukwepaji kodi uliokithiri katika biashara za umachinga.
Hivyo Pascal Mayalla, jaribu tena.
Kiukweli sijui ni wangapi humu wamemsikia Polepole na Musukuma, wamesema nini kuhusu Wamachinga.Unaungana nao kwahiyo mnataka hao machinga wawe na sheria zao tofauti na watu wengine kwamba wao wavunje sheria za nchi kadri watakavyo? Kumbuka hawajakatazwa kufanya biashara bali wasivunje sheria zilizopo kwa watu wote.
Badala ya kuwajengea vibanda wasioingiza pesa serikalini hizo pesa zitumike kuwalipia umeme wafanyabiashara wenye maduka.Mkuu Jidu La Mabambasi , sitetei kabisa the anarchy and lawlessness, wala Polepole na Musukuma, nao pia hawatetei, tunachosema ni, maadam waliruhusiwa kufanya biashara holela na popote, sasa mambo yamebadilika, wawe treated fairly . Msivanjie vibanda vyao, msiwapore mali zao, na muwatafitie mahali karibu na masoko kufanya biashara, muwapange vizuri, wajengewe vibanda vizuri standard na uniform wafanye biashara zao rasmi na sio holela.
P
Mkuu bado nakushangaa!Mkuu Jidu La Mabambasi , sitetei kabisa the anarchy and lawlessness, wala Polepole na Musukuma, nao pia hawatetei, tunachosema ni, maadam waliruhusiwa kufanya biashara holela na popote, sasa mambo yamebadilika, wawe treated fairly . Msivanjie vibanda vyao, msiwapore mali zao, na muwatafitie mahali karibu na masoko kufanya biashara, muwapange vizuri, wajengewe vibanda vizuri standard na uniform wafanye biashara zao rasmi na sio holela.
P
Baadhi ya wanasiasa ni wanafiki wanaweza kuongea jambo ukadhani wana nia ya kujenga kumbe wana lao jingine kabisa, tujiulize walikuwa wapi wakati hao machinga wanavamia kila mahali na kujimilikisha maeneo bila mpangilio lakini leo wakitakiwa kuondoka wanajifanya kuleta habari ya kuwapanga hivi kwa akili za kawaida tu unaweza kufikiri kwamba sehemu kama kariakoo kwa wingi wao unaweza kupata eneo la kuwapanga na wakaenea wote?Kiukweli sijui ni wangapi humu wamemsikia Polepole na Musukuma, wamesema nini kuhusu Wamachinga.
P
Mbona watu wanapewa viwanja na serikali lakini wanabomolewa kwa kushtukiza na nyie mnanyamaza, mjue hizo nyumba wengine wanawatoto wachanga, wazee, wagonjwa na wengine huwa hawapo nyumbani, lakini hao hamuwajali kisa, eti siyo wapigakura wenu! Udhaifu huu ndio unatufanya tusiendelee.Naunga mkono hoja, Wamachingwa watengewe maeneo yao. Lakini kwa vile waliruhusiwa kufanya biashara popote na rais wa nchi wa wakati huo, then wasifukuzwe kama mbwa, kama wahalifu kama vibaka, wasivunjiwe vibanda vyao na kuporwa mali zao, maadam mwanzo waliruhusiwa kufanya kiholela sasa wapangiwe utaratibu.
P
Uzuzu acha kwa nin wabomoe usiku na sio mchana shame on you ,, Kwanin hawajakaa nao kuzungumza aache sulululu wenu kutunyanyasaKumejitokeza wanaccm wanaoamini kuwa nchi hii ya wanaccm na wao wakisema sisi watwana tufuate. Musukuma anashiriki biashara za machinga Kariakoo amekuwa akiwatetea wamachinga akimtumia Polepole kumuunga mkono na kumshambulia Mkuu wa Mkoa Makalla.
Suala la wamachinga limeanzishwa na sisi wananchi tunaobughudhiwa na wamachinga mbele ya biashara zetu na pia watumiaji barabara wengine.
Polepole na Musukuma mjue na sisi wengine tutafika mahali tupambane na wamachinga wenu waondoke mbele ya biashara zetu, sisi kuwa na fremu za maduka si kwamba ni matajiri ila tuliamua kutimiza wajibu wetu kufuata sheria za nchi.
Polepole na Musukuma mwachieni Mkuu wa Mkoa atuondolee wamachinga wenu na mjue sisi pia tunazo familia zinazokula ugali na mchicha mara moja kwa siku tofauti na nyie mnaokula mara sita kwa siku, mjue hivi sasa kukaa ndani ya fremu ya duka kunahitaji uvumilivu wa ziada kwani mauzo yameshuka sana kutokana na CCM kushindwa kuujenga uchumi kwa zaidi ya miaka 40 mkisingizia mabeberu!
Indonezya ilitawaliwa kama sisi na hao mnaowaita mabeberu lakini wametutoka wako mbali sana huku nyie mmebaki kukomba kura, hicho ndicho muhimu kwenu.
HATUWATAKI WAMACHINGA WALIOZAGAA BARABARANI.
Nothing is impossible under the sun, wala sitetei neither machingaism or its lawlessness yake. Ninachotetea ni kitu kinachoitwa a humane treatment kwasababu waliruhusiwa na JPM.Mkuu bado nakushangaa!
Lazima pawepo na change katuka mindset.
Ati watafutiwe sehemu ya biashara
Ati wapangwe vizuri ili biashara zao ziende.
You are talking of impossibles here!
Tuwe reslistic , hatuwezi ku rationalise machingaism, its lawlessness.
Wanobomolewa nyumba za makazi huwa wanaandaliwa makazi mengine kabla ya kubomolewa? Kura tu ili mpate madaraka wakati mnamamlaka ya kunyofoa kura zote zinawafsnya muonekane dhaifu!Baadhi ya wanasiasa ni wanafiki wanaweza kuongea jambo ukadhani wana nia ya kujenga kumbe wana lao jingine kabisa, tujiulize walikuwa wapi wakati hao machinga wanavamia kila mahali na kujimilikisha maeneo bila mpangilio lakini leo wakitakiwa kuondoka wanajifanya kuleta habari ya kuwapanga hivi kwa akili za kawaida tu unaweza kufikiri kwamba sehemu kama kariakoo kwa wingi wao unaweza kupata eneo la kuwapanga na wakaenea wote? Lakini ni vipi walinyamaza wakati watu waliodaiwa kuvamia maeneo ya barabara wakiondolewa kwa kubomolewa makazi yao na hatujasikia wakisema watafutiwe maeneo mengine kabla ya kubomolewa? au wale sio wanyonge au wale sio wapiga kura? Hawa watu hawana lingine lolote zaidi ya kutaka kuonesha utawala uliopo unaonea watu hususan hao wanaowaita wanyonge.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Baadhi ya wanasiasa ni wanafiki wanaweza kuongea jambo ukadhani wana nia ya kujenga kumbe wana lao jingine kabisa, tujiulize walikuwa wapi wakati hao machinga wanavamia kila mahali na kujimilikisha maeneo bila mpangilio lakini leo wakitakiwa kuondoka wanajifanya kuleta habari ya kuwapanga hivi kwa akili za kawaida tu unaweza kufikiri kwamba sehemu kama kariakoo kwa wingi wao unaweza kupata eneo la kuwapanga na wakaenea wote? Lakini ni vipi walinyamaza wakati watu waliodaiwa kuvamia maeneo ya barabara wakiondolewa kwa kubomolewa makazi yao na hatujasikia wakisema watafutiwe maeneo mengine kabla ya kubomolewa? au wale sio wanyonge au wale sio wapiga kura? Hawa watu hawana lingine lolote zaidi ya kutaka kuonesha utawala uliopo unaonea watu hususan hao wanaowaita wanyonge.
Ni vitisho tu, uhalifu ni tabia na wapo watu wengi tu hawana kazi na si wahalifu.Enzi zile nyie mliisema CCM na kutuaminisha machinga wanaonewa..
sasa mnatuaminisha machinga ni kero, niwaambie tu hawa machinga ndiyo wale vibaka ambao kipindi cha magufuli tulisema amewamaliza ...
sasa tulieni huko mitaani kwenu muone show..
Mkuu elvischirwa , hapa hakuna issue yoyote ya mpiga kura yoyote wa mtu yoyote, the issue ni moja, serikali ya JPM iliruhusu hui holela, serikali ya Sa100 inataka utaratibu, then twende nao taratibu. Hii issue ya wamachinga wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makala, asipokuwa makini nayo, inaweza kwenda kula kichwa!.Mbona watu wanapewa viwanja na serikali lakini wanabomolewa kwa kushtukiza na nyie mnanyamaza, mjue hizo nyumba wengine wanawatoto wachanga, wazee, wagonjwa na wengine huwa hawapo nyumbani, lakini hao hamuwajali kisa, eti siyo wapigakura wenu! Udhaifu huu ndio unatufanya tusiendelee.
Mkuu tuliofikiria kimkakati, tulijua tu kuwa machinga a.k.a “wanyonge”, walikuwa taken for a ride.Nothing is impossible under the sun, wala sitetei neither machingaism or its lawlessness yake. Ninachotetea ni kitu kinachoitwa a humane treatment kwasababu waliruhusiwa na JPM.
Baada ya kuwaruhusu wamachinga na kutafuna twenty twenty zao, leo huwezi kuwatimua kama mbwa.
P