Mkuu bado nakushangaa!
Lazima pawepo na change katika mindset.
Ati watafutiwe sehemu ya biashara
Ati wapangwe vizuri ili biashara zao ziende.
You are talking of impossibles here!
Kama biashara zingekuwa hivyo nani asingetaka kuwa machinga.
What does it take to be a machinga.
Hao wenye maduka wao kwa nini wasiende kufanya umachinga wakati huku wakiandamwa na kodi ya pango, TRA,Kodi ya Ardhi, jengo, kodi za wafanyakazi, umeme, maji na kuondoa uchafu n.k.
JK aliwajengea jengo pale Ilala, mpaka leo liko wazi-hakuna anayetaka gharama za biashara.
Tuwe realistic , hatuwezi ku rationalise machingaism, its lawlessness.