Kabisa na hili linakera haswa. Kama hamtaki wamachinga wafuate sheria kwanini wananchi wengine wafuate hizo sheria. Hili la wamachinga ni kama vile linatuambia hatuna serikali which is a pity.Sheria zipo mbona hazifuatwi kila kitu kimefanywa Siasa.
Ukienda Lagos unaweza kudhani hakuna serikali namna lile jiji lilivyo chafu na wao walianza kama sisi tulivyoanza baada ya uchafuzi wa 2015. Hali kadhalika DRC ni kama hakuna serikali mambo ni holela kila kona. Wao pia walianza kama sisi tulivyoanza 2015 maana serikali za awamu zilizotangulia zote ziliweza kuwadhibiti na miji yetu kdg ilikuwa inatazamika. Ukitetea kikundi fulani cha watu kutofuata sheria na wengine pia hawatazifuata hizo sheria mwisho wa siku huwezi kuwaongoza wananchi wote.