Polepole na Musukuma tuacheni na machinga wenu nasi tupumue

Kwenye hili la wamachinga, hakuna unafki wowote, ni JPM ndie aliwaruhusu, hivyo wamachinga hawana kosa lolote. Waondolewe kistaarabu kwa utaratibu na kupangiwa maeneo mbadala na sio kuwavunjia usiku kama ile ya vingunguti.
P
Ruhusa ya JPM iliishia alipofariki kwani ilikuwa ruhusa ya mdomo na si sheria, vinginevyo tukubaliane kuwa itadumu mpaka yeye atakaporudi na kuitengua! Sikutegemea utasema hivyo.
 
Nilishawahi fika Capetown,pale Central Park kama sijakosea,ukipanda juu kuna vibanda vingi sana vya wafanya biashara wadogo wadogo,pale wamejazana wakongo wanasuka,wabongo wananyoa na wabongo wengine wapo wanauza madawa ya kulevya na wizi😂😂😂
 
Mbona huwa hamatetei wanaobomolewa nyumba za makazi na kulazimika kulala nje! Nyie lazima mnamasilahi na umachinga. Hivi hizo familia zinazolala nje mnaona haziteseki kuliko wamachinga wenu ambao mnakuwa tayari kuacha shughuri muhimu za maendeleo mnakaa mnawabembeleza machinga!
Mbagala na maeneo mengine toka uhuru hawana maji yanayofaa kwa matumizi ya binaadamu, haya ndiyo mambo muhimu.
 
Magufuli alitambua kazi aliyoipata kwenye uchaguzi wa 2015,na mwanasiasa yoyote anataka watu,na kiasili Magufuli alikuwa na chuki ya watu wenye hela au matajiri, kwa hiyo kwake hawa aliwaamini na kuwapenda
 
All issues concerning all people should be handled with care, but this one is too much, a wastage of time and manpower.
Linashusha heshima na uwezo wetu kwenye utawala bora.
 
😍👍
 
Watetezi wa kweli wa haki za binaadam, tunawatetea wote ila humu jf watetezi ni wengi na threads ni nyingi hivyo zingine za wakati wanatetewa itakuwa wewe zilikupita. Mifano ya utetezi wa haki dhidi ya bomoa bomoa tulitetea
P
 
Mkuu Erythrocyte , hiki kitu kinachoitwa Sukuma Gang, is a hoax!, it doesn't exist in reality, it's just a make up of that mzushi wa Twitter lakini in reality hakuna kitu kama hicho.
P
Kama mashuleni na vyuoni wapo Sukuma Gang kwanini huku ukatae!
Ukikutana na msukuma jambo lake la kwanza akufanye uwe msukuma (mfano Hangaya), makabila yetu huwa hayana chifu mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…