Polepole na Musukuma tuacheni na machinga wenu nasi tupumue

Sheria zipo mbona hazifuatwi kila kitu kimefanywa Siasa.
Kabisa na hili linakera haswa. Kama hamtaki wamachinga wafuate sheria kwanini wananchi wengine wafuate hizo sheria. Hili la wamachinga ni kama vile linatuambia hatuna serikali which is a pity.

Ukienda Lagos unaweza kudhani hakuna serikali namna lile jiji lilivyo chafu na wao walianza kama sisi tulivyoanza baada ya uchafuzi wa 2015. Hali kadhalika DRC ni kama hakuna serikali mambo ni holela kila kona. Wao pia walianza kama sisi tulivyoanza 2015 maana serikali za awamu zilizotangulia zote ziliweza kuwadhibiti na miji yetu kdg ilikuwa inatazamika. Ukitetea kikundi fulani cha watu kutofuata sheria na wengine pia hawatazifuata hizo sheria mwisho wa siku huwezi kuwaongoza wananchi wote.
 

Hakuna haki ya kuvunja sheria mkuu.
 
Acha kujitafutia umaarufu kwenye suala ambalo halihitaji sifa ila utekelezaji WA sheria!! Watu hawawezi kuishi Kama mifugo
 
Kama mashuleni na vyuoni wapo Sukuma Gang kwanini huku ukatae!
Ukikutana na msukuma jambo lake la kwanza akufanye uwe msukuma (mfano Hangaya), makabila yetu huwa hayana chifu mwanamke.
Sii kweli, machifu wanawake walianza siku nyingi since time immemorial, chifu wa kwanza mwanamke ni yule aliyemmegesha 'tunda', yule aliyekatazwa asile 'tunda' lile, aliletewa 'tunda' na akamegeshwa!.
 
Sio sawa kuwafurusha kama Mbwa
Mbona wengine wanafurushwa kama panya! Utakuwa ulikuwa Uswizi wakati wakazi wa Kimara wakifurushwa, wapo waliolala nje na vichanga vyao mwezi mzima. Fikiria mtoto anazaliwa tu anapata surubu! Akikua atakuwa nani kama si Kingai.
 
Kwani sheria zinasemaje?

Sheria ya mipango miji inasemaje?

Ningekuona wa maana Kama ungekuwa unweka reference kutoka kwenye sheria kusindikiza unayozungumza!

Unaongea Kama layman
 
Polepole ningekuheshimu sana kama ungeachana ku deal na vitu vidogo vidogo kama hivi na badala yake ujikite kwenye KATIBA MPYA - Mbona zamani ulikuwa na busara sana nini kimekupata ndugu?


 
Polepole ningekuheshimu sana kama ungeachana ku deal na vitu vidogo vidogo kama hivi na badala yake ujikite kwenye KATIBA MPYA - Mbona zamani ulikuwa na busara sana nini kimekupata ndugu?


Kuwa na busara zote ila ujue ukijiunga na CCM tu, busara zote hutoweka! Tekinolojia ya mchina inawaharibu marafiki zao.
 
Pole sana mkuu...umeongea kwa uchungu Sana....I feel your pains....

Halafu wanatokea watu aina ya ndg.Polepole wanaongea Kama vile wako "ndotoni"..

Pathetic
Polepole akili huwaga kazikalia matakoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…