Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Usiwafananishe Yanga na vitu vya kijingaAliyempa jina la Chakubanga hakukosea jamaa ni mtopolo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwafananishe Yanga na vitu vya kijingaAliyempa jina la Chakubanga hakukosea jamaa ni mtopolo sana
Ndio maana anaongea utopolo ili kuzidi kukiangamiza [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1548][emoji1534]
Yericko Nyerere mbingu ataizikia ndie aliembatiza hilo jina.Aliyempa jina la Chakubanga hakukosea jamaa ni mtopolo sana
Ndio shida ya ccm, kila rasilimali za taifa wanasema ni za ccm,.mwisho wa siku watasema watanzania wote ni mali ya ccmTangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Mimi siyo zwazwa labda mazwazwa yanayomeza kila kitu.Kuna watu wanamuelewa, ikiwa humuelewi ujue wewe sio wake na wala haongei na wewe na sio size yako
Tunaambiwa serikali imejenga hospitali na zahanati kila kata, hizo ndizo wataanza nazo Chadema, au Chadema wakiingia madarakani itabidi wazinunue kwa vile zimejengwa na serikali ya CCM.
Kama ni kqeli ameyanena hayo, basi atakuwa tayari amepandwa na uwendawazimu.Tangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Ila ndege na mabarabara ni ya jiwe.uwanja wa ccmMwingine anasema Magufuli hajajenga uwanja wa ndege chato umejengwa na CCM, ukiwa ccm ubongo unaharibika.
😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nimecheka ki K--&- kweliTangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Tangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Hapo ndipo mnapofeli nyinyi sio wazalendo wa Nchi ni wazalendo wa Chama chenu, yaani mko radhi Taifa liangamie ili tu chama chenu kushinde. Huwa mnalishwa nini sijui huko mpaka akili zinaishaUkiona kelele zinakuzidi tengenezeni na ninyi kwa serikali/chama chenu kwani mnafail wapi?
kweli CDM ni UTOPOLO tu.....
Halafu hapo hapo wanakwambia Magufuli kajenga SGR,sijui flyover!!!!DaaahMwingine anasema Magufuli hajajenga uwanja wa ndege chato umejengwa na CCM, ukiwa ccm ubongo unaharibika.
Uelewa kumbe ni shida!Tangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.