Uchaguzi 2020 Polepole ni wa kupuuzwa, eti CHADEMA haina hospitali, kwani Muhimbili ni ya CCM?

Kapolepole hakafai.
 
Tunafokewa nchi nzima😂😂😂😂
 

Mimi sio Ccyem ila sidhani kama hili tamko lilikua na maana yakuonyesha nani anamiliki hospitali na nani hana kwa mtazamo wangu labda alilenga kumaanisha je inawezekana vp kupata bima kila mtanzania ingali hospital ni chache labda ili kusupport mfumo wa ujenzi wa miundo mbinu wa Magu
 
Tatizo polepole anasumbuliwa na njaa, na yeye ni miongoni mwa walio okotwa majalalani, hivyo habebwi na historia yake anabebwa na njaa yake, afadhari hata makonda anahistoria alipita pita ktk chama na Kikwete akamwona
 

Umetoa Maelezo kwa ulichoamua kukielewa wewe kitu ambacho sio sahihi.
Ndg Polepole alichokimaanisha ni kuwa lazima tuanze kujenga na kuongeza Hospitali kutoka kwenye zile zilizopo na kuboresha miundombinu kwani kumpa mtu BIMA bila kuwepo kwa Huduma ni jambo la Ajabu.
 
Baada ya kupitia hoja za wanaokubaliana na wewe nimegundua mnajibu Vihoja kwa Hoja ya Polepole.

Swali mnalopaswa kujiuliza kama mna hoja ni je, bima ya afya itatolewa kwa kila mwananchi pasipo kuimarisha kwanza huduma ya afya, kwa maana ya maendeleo ya vitu (kuwepo na zahanati, vituo vya afya na hospitali za kutosha ili kuweka vifaa tiba, madawa na watumishi wa afya)?

UPUMBAVU na ULOFA kwa vihoja vyenu
 
Kwa jinsi muonekano wake ulivyo unaonesha utotoni aliwahi pata utapiamlo clonic sanaaa
 
Ina maana watu wasitibiwe hadi hospitali zijengwe kila kata? Kimsingi hoja ya bima ya afya kwa wote ni kumpa mgojwa uwezo wa kupata matibabu hospitali anayotaka.
 
Kwa hiyo wagonjwa wasitibiwe hadi hospitali zijengwe.
 
Ina maana watu wasitibiwe hadi hospitali zijengwe kila kata? Hoja ya bima ya afya kwa wote ni kumpa mgojwa uwezo wa kupata matibabu hospitali anayotaka.
Jibu lako hilo nalo ni Kihoja. Haingii akilini mwa mtu kuwa na kikaratasi hicho cha bima ya afya wakati hawezi kukitumia.

Mnadanganya MTz gani kwa kumwambia atapewa bima ya afya wakati atakapohitaji matibabu hakuna hospitali? Yaani mnaamini WaTz wana akili za kitoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…