Walio tayari na bima za afya hawatibiwi?Jibu lako hilo nalo ni Kihoja. Haingii akilini mwa mtu kuwa na kikaratasi hicho cha bima ya afya wakati hawezi kukitumia.
Mnadanganya MTz gani kwa kumwambia atapewa bima ya afya wakati atakapohitaji matibabu hakuna hospitali? Yaani mnaamini WaTz wana akili za kitoto?
Walio tayari na bima za afya hawatibiwi?
Issue hapa ni gharama ya kuipata hiyo bima siyo kutibiwa.
Ina maana watu wasitibiwe hadi hospitali zijengwe kila kata? Kimsingi hoja ya bima ya afya kwa wote ni kumpa mgojwa uwezo wa kupata matibabu hospitali anayotaka.
Tangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Wewe nawe ni great thinker kweli?Tangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Rejea kwenye mada yako unayomtuhumu Polepole kwa lugha ya kumkashifu.Walio tayari na bima za afya hawatibiwi?
Issue hapa ni gharama ya kuipata hiyo bima siyo kutibiwa.
Wewe nawe ni great thinker kweli?
Labda nikurahisishie swali...Je kati ya Bima ya Afya na vituo bora vya afya kipi kitangulie?
Tunaweza kuwa na vituo vya afya bora kabisa lkn kama huna uwezo unawezafia kwenye geti la hospitali, wangapi wanarudishwa Muhimbili kwa kutokuwa na bima.Wewe nawe ni great thinker kweli?
Labda nikurahisishie swali...Je kati ya Bima ya Afya na vituo bora vya afya kipi kitangulie?
Non of this thread.Vipi kuhusu Chadema kuahidi kugawa madini yetu kwa " mabeberu" kupitia ilani yao ya uchaguzi!?
Unadhani hana akili kihivyo? Shida ya Polepole anataka kumuiga boss wake hadi anapitiliza.Huyo mpuuzi sijui alisoma shule gani hapa nchini, maana hatumii angalau point ya akili zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ibariki [emoji1241] TanzaniaUnadhani hana akili kihivyo? Shida ya Polepole anataka kumuiga boss wake hadi anapitiliza.
Hiyo ni akili ya boss wake ndiye huwa anayefikiri hivyo, utopolo mtupu.
Ndio maana baada ya uchaguzi huu kuwa na kiongozi kama Lissu nchi itabadili mwelekeo maana state of mind ita change kwa kiasi kikubwa mno.
Yaani muendeleze mipango ya "walitufikisha hapa"? Mipango ya "watu waliofeli"?serikali imejenga hospitali na zahanati kila kata, hizo ndizo wataanza nazo Chadema
Aisee nimeshangazwa mno hazitendei haki zile mviMwingine anasema Magufuli hajajenga uwanja wa ndege chato umejengwa na CCM, ukiwa ccm ubongo unaharibika.
Polepole ameenda yaani hata Ofisi hawana wanatembea nazo mfukoni mwa MwenyekitiTangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Polepole tangu amekuwa katibu wa ccm Akili zake zimevia nilimdharau aliposhabikia Neno niyeye kwa nguvu kubwa Jamaa anazeeka vibaya
Kwa hiyo Tundu atatoa bima ya afya ya kutumia kwenye hizi hospitali za "maendeleo ya vitu"?Tangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Huyo siku hizi sumsikilizagi kabisa kwani hayupo serious hata kidogo. Analeta mzaha kwenye mambo ya msingiTangu kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi hakijawahi kuwa na Katibu Mwenezi hopeless kama huyu. Tunakoelekea kuna siku atasema barabara zote za Tanzania zinamilikiwa na CCM kama walivyojimilikisha viwanja vya michezo.
"Wanasema watatoa Bima ya Afya kwa wananchi wote, niwaulize; Unaweza kutoa Bima ya Afya wakati huna Hospitali?." - Humphrey Polepole.
Hata kama ni propaganda fanya basi lkn ziwe na mantiki na zilete sense kwa wanaosikiliza, propaganda hizi za Polepole hata yule bibi kizee wa kijijini ambaye hakuuona mlango wa darasa hawezi kukubali ulaghai huu.
Huyu ni mwimba mipasho wa TOT? Great thinker kweli na mipasho wapi na wapi acha kelele tupe food for thought, mambo ya fb hayoUNATESEKA SANAAAA AMEWASHIKA PABAYAAA PAMPA TO PAMPAA
CCM OYEEEEEEEEEEEEH......