Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Lkn hii ni “free Country“ na ana haki ya kutoa maoni yake kama Mbunge, kosa lake ni lipi ? Mbunge hapaswi kukosoa au kutoa maoni yake tena ?

Polepole ni Mbunge, kaona Serikali haifanyi sawa, anaikosoa, kosa liko wapi ?
Alifanya hivyo wakati wa Magufuli, watu walitekwa na kuuwawa hakunyanyua domo.
 
Tatizo la politicians wetu they always get their voice back wanapokua nje ya system why?Mr. Polepole kipindi chako wakati kamba yako haijakatika hukuyasema haya kwa UHURU;kupotea kwa Saanane,kupigwa risasi na kuuliwa kwa Akwilina,kuvunjwa kwa haki za binadamu,kubinywa kwa demokrasi nchini etc etc ;hukusimama na kunyosha kidole kuyasemea ika sasa upo nje ya system unaongea....huu ni unafiki
Lakini vile viapo vyao wanavyofunga hadharani si ndiyo hivyo vinawafunga midomo wanapokuwa kwenye system?...

Tunapaswa kuhoji hii kitu; ..." Kwa vyovyote sitatoa siri za Baraza la mawaziri nitakazo zijua"..

Ina maana kuna mengi ya sirini yanaendelea kwe mihimili yote.

Ukitemwa unakua angalau huru kutema nyongo kama vyombo vya Dola havitakunyamazisha.
That's why we need a new KATIBA kulinda haya,our no 1 atawajibika kuteua cabinet yake tu,viongozi wengine wote hasa CEOs wa Tiss,IGP,Mkuu wa majeshi,DCI ect ect...itabidi watume maombi na kufanyiwa interviews na kamati za Bunge(bila kusahau judge's)
 
Kuna kitu sijawahi elewa, enzi za Msoga kuna mtu alipigwa Bomu, kuna kijana Arusha Alipigwa risasi hadharani kwenye maandamano just like Akwilina na PM akasema wapigwe tu, owner wa Mwanahalisi alimwagiwa tindikali, kiongozi wa madaktari alitekwa akaja kupatikana ameng'olewa kucha bt sijawahi kuskia hili likihusanishwa na Mzee wa Msoga au Nape aliekua Katibu Mwenezi...
Now days kuna mauaji kila siku, like everyday ukiamka unakutana na habari za mauaji( I lost a school mate aliekua mwenezi wa cdm mwanza, alipotea akaja patikana mochwari)
bt siskii Mama akisemwa ktk haya...
Unless tuambiane kuna exception inapokuja ktk haya masuala...kwamba yakifanyika utawala fulani then ni lao, yakifanyika tawala fulani haya hayawahusu...Or its a syndicate maalum kuchafua watu fulani na kukwepesha kwa wengine.
Relax mkuu hii ni topic ya majadiliano na we have a right to disagree la muhimu ni FACTS ziheshimiwe na mambo mawili mabaya hayawezi kuleta jambo zuri moja,yaliyotokea kipindi cha President Kikwete ambayo yalileta hayo uliyoyasema ni muhimu sisi wote tukayaongelea na to demand the justice kwa wahanga hao,nipo nawe mkuu kwa hili.
 
Kama hakumuunga mkono lowasa mbona hujawai kumuunga mkono dr slaa au ndo muendelezo wa unafiki ulionao wewe na wenzio?
,mimi binafsi kuunga mkono chadema sio jambo ila tunaangalia majority walifanyaje. Na kingine wewe usipo muunga mkono polepole wenzako watamuunga iwe kwenye mwanga au gizani endelea kubaki negative kwa kila jambo siku utakapoona upo peke yako ndo utakapoacha kutumia makalio kwenye kufanya maamuzi.

Dr. Slaa nilimuunga mkono akiwa CDM sio nje ya hapo. Sumzuii yoyote kumuunga mkono lakini huwa siungi mkono wanafiki. Kama mpo mnaomuunga mkono gizani, sasa unasaka huruma ya nini? Sihitaji kuwa upande wa wengi zaidi ya kufanya ninachokiamini. Ww endelea kufuata upande walioko mabasha zako maana ndio wanaolipa maisha.
 
Kwahiyo Polepole inatakiwa aendelee kuunga mkono mabaya?
No no mkuu ,nilichokiandika mimi ni unafiki wake wa kuongelea wakati yupo nje ya system kandamizi ambayo yeye alikua ni senior guy,je kama nchi tunahitaji Reconciliation commission ili ukweli huu uongelewe ?we can debate this ili kuondoa dhana ya kuwa viongozi wetu hasa politicians they only have their voices back wanapokua nje ya system's.
 
Eti mawaziri wajitokeze kulaan, hivi unaweza kulaani mzazi wako?? huyu polepole kichwa chake hakiko sawa.
Yeye mwenyewe anazunguka mbuyu tu pia. Aseme yeye analaani. Tuanzie hapo. Ni mbabaishaji huyu jamaa, amevurugwa na kutupwa nje ya mfumo.
 
Mbowe ndiye aliyewaamuru walinzi wa eneo lile waondoke.
Mbowe ndiye aliagiza cctv kamera zitolewe
Hakuna askari mwenye makengeza akatumwa kazi akamimine mirisasi yote 38 ampate lisu mguu hao watakuwa wala unga waliotumwa kazi wakashindwa kulenga shabaha
 
Unaiwaza Chadema kuliko hata unavyomuwaza mume wako.
Me siwezi kuiwaza chadema wakati ninamaisha yangu kauli yangu nikuonesha tuwache double standard PolePole katoa hoja mjibuni kwa hoja sio kufanya personal attack huo unafiki mnaosema anao mbona 99.9% wanasiasa pia ni wanafiki kuanzia wa chadema mpaka CCM
 
Mbona chadema waliwahi kumshambulia Lowassa ni fisadi na pia wakasema wanaushahidi na ufisadi wake lakini hao hao wakampokea kwenye chama chao na wakamkabidhi kuwa mgombea wa Uraisi pamoja na unafiki Huu walionyesha lakini bado wengine wanawaamini wanapotoa hoja zao inakuaje kwa Mhe PolePole iwe nongwa?
AGAIN mkuu hii ni mada tunaijadili na hatuwezi wote tukawa na mawazo sawa,wewe umeona ni kosa kwa CDM kumchukua Mr.Lowasa kuwa presidential candidate wao ni kosa(ni absolute your right)mwingine ataona CDM waliamua kwa busara kumchukua Mr.Lowassa na wana facts zao,kuja kwa Mr.Lowassa CDM walifanikiwa kupata kura zaidi ya 6M za urais(hii ni rekodi hata Mr.Mrema hakuifikia),walipata wabunge wengi wa kuchaguliwa bungeni,na walifanikiwa kuchukua almost majiji yote hapa Tanzania,sasa why wewe uwanyoshee kidole kwa mafanikio yote haya!sometimes we need to relax kidogo ili kuonyesha demokrasia tuliyokua nayo humu..JF
 
Tatizo la politicians wetu they always get their voice back wanapokua nje ya system why?

Mr. Polepole kipindi chako wakati kamba yako haijakatika hukuyasema haya kwa UHURU; kupotea kwa Saanane, kupigwa risasi na kuuliwa kwa Akwilina, kuvunjwa kwa haki za binadamu, kubinywa kwa demokrasi nchini etc etc ; hukusimama na kunyosha kidole kuyasemea ika sasa upo nje ya system unaongea....

Huu ni unafiki
Yeye hakutakiwa kusema hayo alipokuwa na collective responsibilities na hata sasa walio ndani hata kama hawapendi hawawezi sema nje; kwa sasa anayo haki kufanya hivyo...Tusipende kuwa na visasi visivyo na msingi...
 
Nimeamini watanzania wengi ni wajinga.Ukiangalia wengi wameacha kujadili hoja ya msingi juu ya kuibiwa rasilimali zao kwa viongozi kuruhusiwa Kuiba wamebaki wakimjadili mleta hoja! Petty issues ambazo hazina msingi zimegeuka kuwa agenda na wapigaji wanatumia mwanya huohuo. Acha tupigwe tu [emoji119]
Ni kweli watanzania wengi akili hana wanaacha kutetea maslahi ya taifa anaingiza stori za lisu kupigwa risasi,stori za mbowe wanatusaidia nini
 
Wewe kila kitu Lissu!

Kama Peleka unayo nauli.....
mzigo akapakuwe basi.

Watu wanachinjwa kama kuku nchini,wewe umekomalia hizi Political scripts?

Tumewachoka sasa.......

Lissu mwenyewe anakula vizuri na familia yake + watoto wanasomeshwa EU.

Wewe unalala njaa na ukiamka Lissu...Lissu......

Si akheri hata uandike Yesu....Yesu.....
Wewe kinakuwasha nini?.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wewe kila kitu Lissu!

Kama Peleka unayo nauli.....
mzigo akapakuwe basi.

Watu wanachinjwa kama kuku nchini,wewe umekomalia hizi Political scripts?

Tumewachoka sasa.......

Lissu mwenyewe anakula vizuri na familia yake + watoto wanasomeshwa EU.

Wewe unalala njaa na ukiamka Lissu...Lissu......

Si akheri hata uandike Yesu....Yesu.....
Si waelewagi watu sijui lisu baba yake
 
Back
Top Bottom