Uchaguzi 2020 Polepole: Tunataka kuona NEC ikitenda haki, ole wake Tundu Lissu asipoitikia wito wa Tume!

Uchaguzi 2020 Polepole: Tunataka kuona NEC ikitenda haki, ole wake Tundu Lissu asipoitikia wito wa Tume!

Hivi Polepole ni mzima kweli? kamanda Bashiru hivi huyu mtu mlimchukulia hatua gani kwa zile fedha alizowapiga wakati akijidai 'kuwashawishi' wabunge na madiwani 'kuunga juhudi'
 
Kwani ndiye ameiagiza TUME? Mbona anaidhalilisha sana na kuonesha haiwezi kufanya kazi zake bila kutumwa?
 
Huyu asiyejulikana ni mzee ama kijana yupo sawa kweli? Lissu kasema hajapata barua rasmi toka Tume ya wito sasa cha ajabu ni kipi? basi kama anayo aipeleke yeye. Lissu ataogopaje kwenda Tume kama ana formal letter ya wito?

Mzee hii ni Tume ya Taifa ya uchaguzi ina kanuni na maadii yake na si tume ya CCM.
 
😄😄😄

43:00 Mchezaji mahiri kabisa ambaye ni kutoka Tume anaingia dakika ya 43

44:22 Goooli Dk Tume mchezaji aliyeingia mda sio mrefu anajifunga goli hapa, ni mpira wa kurusha ulikuwa unarudishwa kwa kipa, na bahati mbaya ukagonga kichwa cha mchezaji huyu wakati anaingia uwanjani na kuingia golini

Naona Kocha msaidizi polepole anakataa, anataka refa atumie VAR, lile ni goli kabisa tumeliona lakini wanasema filimbi haikuwa imepulizwa.

Kwako mwalimu Kashasha unazungumziaje mchezo huu dakika za mwisho za kipindi cha kwanza
 
Na boss wa NEC ndio huyo sio?

Hahah yajayo yanafurahisha sana.
Screenshot_2020-09-28-13-03-17-1.jpg
 
Ole wake!


Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.

A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time. Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him.

He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people.

This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque. When was the last time magufuli was in the campaign trail..
 
Huyu asiyejulikana ni mzee ama kijana yupo sawa kweli? Lissu kasema hajapata barua rasmi toka Tume ya wito sasa cha ajabu ni kipi? basi kama anayo aipeleke yeye. Lissu ataogopaje kwenda Tume kama ana formal letter ya wito?

Mzee hii ni Tume ya Taifa ya uchaguzi ina kanuni na maadii yake na si tume ya CCM.
Inawezekana kwa jina ni tume ya uchaguzi ila kiuhalisia ni tume ya ccm lenye kusimamia uchafuzi
 
Back
Top Bottom