Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Zile dawa zinavuruga sana akil8Polepole ana nguvu gani kisheria ya kumwambia mtu ole wake, kwani yeye ni mtumishi wa NEC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile dawa zinavuruga sana akil8Polepole ana nguvu gani kisheria ya kumwambia mtu ole wake, kwani yeye ni mtumishi wa NEC.
Ka polepole kamekuwa kajinga sana skuziPolepole siku hizi ni msemaji wa tume?
Ka polepole kamekuwa kajinga sana skuzi
Mwaka huu wamekutana na kisiki, Lissu anazipangua hapo hapo hana sababu ya kuenda Dodoma.
Kwani ni mwenezi wa tume au ccm?Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lisu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Ka polepole kamekuwa kajinga sana skuzi
Mwaka huu wamekutana na kisiki, Lissu anazipangua hapo hapo hana sababu ya kuenda Dodoma.
Polepole naye anaitisha Tume kama nabi! Tofauti ya TL na Polepole ni ipi sasa, maana wote wameishukia Tume. Nasubiri hatua za Tume kwa Polepole na CCM yake.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lisu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
CCM ni sawa kabisa na "gangsters' paradise" ambapo roho zote chafu zenye kuhamasisha wizi, ufisadi, ushirikina, ufedhuli, udhalimu, ichu wa damu za watu, uonevu, dhuluma, uzinzi & uasherati, matendo ya kishoga, uongo, tamaa mbaya, ulevi wa madaraka na mambo mengine yenye kufanana na hayo.
CCM mnajitekenya na kucheka wenyewe eti? Wapuuzi sana ninyi.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lisu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
CCM haijawahi kushindwa. Kwanza ishindwe na saccos? You must be joking!!.Ni vigumu CCM kukubali kushindwa
Polex2 a once independent analyst who has undergone a complete metamorphosis and become a dangerous corruption Margot with a brain of a bird!Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lisu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Polepole mwisho wake ni 28 OctoberNenda kamwambie Polepole kuwa tumewahi ku-deal na mhuni mmoja anaitwa Nape!
Ingia barabarani Madam mtetee Lissu.Hiii Bettle Sio ya Kitoto,wale wanaotumika na Upande wa pili kazi wanayo,No hate No Fear, People’s Power
Na kama ataendelea na jeuri yake kampeni zake zisitishwe asituvurugie nchi.Shetani anaweza kutujia kwa namna yoyote ile hata kwa sura ya kibinaadam kama hivi.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lisu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Safi. Kama kuna chama cha kipuuzi ni Saccos ya Chadema. Kuanzia mwenyekiti wao mpaka wanachama tabia zao zafanana. Mwenyekiti mpaka akavunjwa mguu, alipotoka kula vitu maalum. Huko kwenye chama, nafasi ya bure hamna lazima utoe hela au ufiche mtu kwenye sketi. Enough is enough, watanzania tumewachoka kabisa usanii wenu.Wewe huifahamu Chadema, uliyo taja juu hapo ndio Chadema inasimamia na kurusu hali hiyo. Chama kimejaa machoko na wasagaji nanihii, nifikishie salamu za uchaguzi na utambuzi kwa Ester na Halima.