Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,092
- 886
Majibu mepesi kwa maswali magumu, Polepole ataokota makopo week ijayo ova!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee akizungumzia ufisadi wa ekari elfu 25 za kule Karagwe, pamoja na kupewa tenda kwa Mayanga construction company, na pia kama kuna uongo wowote juu ya fao la kujitoa utuwekee taarifa.Siasa ni sayansi!
Uzuri wewe si muamuzi wa mwisho juu ya uraisHakuna wa Kumjibu Lissu CCM kwa sasa.. Vinginevyo ni Kujichafua na Kujivua Nguo. CCM watulie wasijibu Hoja za Lissu maana Zinawaumiza sana Watanzania anavyozidadavua. Hotuba za Lissu ni Kitu Black and White.. Hakuna Chenga ati... Nyeupe ni Nyeupe na Nyeusi ni Nyeusi ...
Mkuu uko sahihi Polepole wakati wa kampeni 2015 alikuwepo kwenye kampeni team ya CCM na alikuwa mstari wa mbele kumkuwadia jiwe kuwa lazima atatuleta katiba mpya. Polepole huyu huyu aliibika na kusema katiba siyo kipaumbele cha CCM yeye na Palamaganda Hawa watu hawaaminikiPolepole tulishamzoea kwamba ni mnafiki wa aina ya wale watu anayeweza hata kukana jina lake mwenyewe! Polepole yule wa Tume ya Jaji warioba sio huyu anayeongea sasa! Kamwe hawawezi kuiokoa CCM kwa kucheza mziki anaopiga Lissu! Hayo mambo ya Chato , SGR na vingine kila mfuatiliaji wa mambo hapa nchini anayajua na anajua dosari zake, ila tu watu wapo kimya sababu wamenyimwsa uhuru wa kuongea!...
Tunaongelea uwanja wa ndege wa kijiji cha CHATO, wewe unazungumzia viwanja vingine, What kind of defense is that? Ongelea uwanja wa CHATO. Tunajua viwanja vingine kwa nini vimejengwa. Unamtukana mwenzio, je wewe tukikwambia una sura ya kizee....Utalia wewe?Wenzetu wa upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, uongo mkubwa, upotoshaji wa makusudi. Lakini uzuri watanzania wanajua uongo na leo nitawapeni ushahidi wa mambo ya uongo watu hawa wamesema...
2020-2025Wakuuu Polepole yuko na tvccm anafoka foka, Mwaka huuu atajua ajui sisi watanzania wote tumeamua kumpiga chini magufuli hivyo hana chake hapa sisi tumeamua ni lisu tu, wao wamejimilikisha nchi sasa wameshangaaa lisu anavyowapepeta watajua hawajui...
Na Tundu Lissu wala asipoteze muda wa kumjibu huyu mchumia tumbo lake maana tumeshamjua ni kilaza fulani ambae haiwezi kusimamia Jambo lake mwenyewe.Tunaongelea uwanja wa ndege wa kijiji cha CHATO, wewe unazungumzia viwanja vingine, What kind of defense is that? Ongelea uwanja wa CHATO. Tunajua viwanja vingine kwa nini vimejengwa. Unamtukana mwenzio, je wewe tukikwambia una sura ya kizee....Utalia wewe?
Tanzania ya Leo sio ile ya kipindi kile anazungumza hivyo..!Polepole alisema iwapo uchaguzi utakua huru na haki basi CCM kijiandae kukabizi dola sasa Leo anakuja na ngonjera gani tena