mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Leo anafanya mdahalo na Rais wa Ghana nae ni level ya Polepole?Lissu aje afanye mdahalo na mtu wa level yake Hamphrey Polepole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo anafanya mdahalo na Rais wa Ghana nae ni level ya Polepole?Lissu aje afanye mdahalo na mtu wa level yake Hamphrey Polepole.
Kwani mgombea wa chama cha Mbowe hayuko hapo kwaajili ya kuchumia tumbo lake..?😂 Tegemea kuletewa hela Sasa.Na Tundu Lisu wala asipoteze muda wa kumjibu huyu mchumia tumbo lake maana tumeshamjua Ni kilaza Fulani ambae haiwezi kusimamia Jambo lake mwenyewe
Mdahalo usiokuwa na manufaa yoyote ya moja kwa moja kwa taifa la Tanzania, ndio unaouzungumzia hapa😳?Leo anafanya mdahalo na Rais wa Ghana nae ni level ya polepole?.
Ili akakutese huko akukamate Kwa uongo, akupore Mali, akubague, akufunge, atumie hela yako kuwalipa kikundi kile cha kigaid alichokianzisha cha watu wasiojulikana2020-2025
NI JPM TENA.
Unapohatarisha ugali wa mtu ama watu lazima utaitwa majina yote mabaya, CCM walitegemea kila watakakopita basi wananchi wawakenulie meno kuwashangilia kwa ajili ya stiglaz goji, ghafla imekuwa kinyume chake! Wananchi wako taabani mifukoni.Polepole ni mtetea tumbo lake,hana jipya!
Aisee huyu jamaa amepwaya,naona ni kumshambulia Lissu tu!
Anamtukana Lissu kuwa ni laghai,tapeli na ibilisi!
Ninachoona ni CCM wamepanic!
JPM ana mapungufu mengi tu. Ila sina imani na Lisu.Ili akakutese huko akukamate Kwa uongo, akupore Mali, akubague, akufunge, atumie hela yako kuwalipa kikundi kile cha kigaid alichokianzisha cha watu wasiojulikana
Hahahaha!!!! Kweli aiseeHawa ndio wanatusaidia kuimaliza CCM!
Hata hao wanaoajiriwa kila kukicha kutokana na mchaka Chaka wake bado hujashtukaJPM ana mapungufu mengi tu.
Ila sina imani na Lisu.
Hata wabunge 5 mkifikisha itakuwa miujiza, sembuse urais!!!Watajitokeza Sana kujieleza, sisi tunaenda na lisu na wataumia huko mbele baadae wao watukane Lakini wajue kuwa magufuli ni mwizi. Jambazi, mbaguzi na mtesaji wa wananchi
Acha kuota ndoto za mchana kwahiyo mnamuona Polepole ndiyo kichwa cha kuja kuweka mambo sawa siyo? Mnapotea na mtapotea sana.Polepole wapige spana hao magwanda
PLPL lazima ajitoe ufahamu kwasababu maisha yake kwasasa bila ni CCM hayaendiPolepole alisema iwapo uchaguzi utakua huru na haki basi CCM kijiandae kukabizi dola sasa Leo anakuja na ngonjera gani tena
Sasa unasema wabunge watano Wakati mikoa kumi wabunge wote ni chadema? Acha kukariri wewe, upende kujiaminia kuiba, wenzio wanajua kuwa hawana chao ndio maaana wanatumia tume kuokoa jahazi wewe unasema ujinga, ndio abood angetumia mabilioni kumzuia Yule mdada wa Moro mjini? Wenzio wanajua ndio maana wagombea wa Ccm wameacha kampeni wanahangaika kuwahonga wasimamiz wawwsimamisheHata wabunge 5 mkifikisha itakuwa miujiza, sembuse urais!!!
Mimi huwa nawaita wanasiasa njaaPLPL L azima ajitoe ufahamu kwasababu maisha yake kwasasa bila ni CCM hayaendi
Mkate wa kila siku.Hata Tanzania ile ya wakati wa tume ya Jaji Warioba ,sio hii ya sasa,kwahiyo sioni ajabu yeye kubadilika kimtazamo as long as yeye sio robot kimawazo.