Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

Huwezi mchagua lisu Leo ila yatakayokukuta huko mbele utaanza kusema najuta, wapo watu humu tuliangaishana nao Mwaka 2016 na 2017 baadae wamegeuka kuwa upande wetu, hilo neno book Saba nililetwa Kwa ajiri Ya hicho kikundi Lakini baadae walianza kupoteana mmoja had moja, mtu mwenye akiri timamu asiefuata ukabila Au kulipwa hawez mpigia magufuli kura, wanaompigia magufuli kura ni wasukuma wale washamba, watu anaowatumia kuuuwa raia na wale aliowapendelea vyeo na wale ambao hawajasoma Au wale magaid, mafisadi wa Mali za umma
Nilikuona wamaana sana kumbe kichwani mweupe tu,umejaa chuki za kipuuzi,hivi unawezaje mtu kua raisi kwa kupigiwa kura na kabila moja tu? Unaanzaje kutukana kabila zima kwa kosa la mtu mmoja? Ficha upumbavu wako.
 
Maendeleo gani unaleta Wakati anauuwa watu? Anabagua watu? Anatukana watu, anadhalilisha watu? Ameanzisha kikundi cha kigaid na kukipa jina la wasiojulikana? Hukumbuki kuwa huku tarime kilijaribu kutaka kumteka Peter zakaria kikanyoshwa? Baada Ya kunyoshwa kikajulikana kikabadili jina angani kikajiiita usalama? Chezea tarime wewe babu hata wewe ukijifanya unakuja huku tutakushikisha adhabu kenge wewe
Za kuambiwa changanya na zako.
 
Bado kuna nondo nzito Pole Pole hajazishusha zitashushwa siku zijazo.

Wanaulizia pesa za ujenzi wa viwanja vya ndege na ununuzi wa ndege kaidhinisha nani wakati Hansard za bunge zipo na zinaweza kupatikana zikihitajika.
 
Hakuna mziki WOWOTE, sana tutasikia kelele za akina AMSTERDAM waliomtuma Lissu aseme uongo kwa watu wachache wasioelewa ukweli wa mambo. Kwa waliouwa niliwaona ikiwa ni pamoja na WANGWE na SAANANE! Ukabila anauzungumzia Lissu kwa kukumbatia hoja ya AMSTERDAM ya kuigawa nchi kwenye MAJIMBO. Anataka aingize majimbo ili kukamilisha ile dhana ya "WAGAWE UWATAWALE". Kwani hujui chanzo cha majimbo ni sera potofu za USA baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na dhidi ya RED INDIANS kwa nia na lengo moja na kupora wenye nchi yao na kuepuka vita kati yao. Sisi hatuna ukabila hivyo hiyo hoja ya majimbo ni lengo la kuturudisha mwaka 47. HAIKUBALIKI.
Kikubwa babu wewe Faham kuwa watanzania tumemkataaa huyo katirir wenu, Mkoa wa Mara woooote tuko pamoja no katiri wenu huyo na tutamshikisha adhabu Halafu mtakimbia kufuta Picha zenu kwenye fb si Kwa sasahivi mkitukana mnajiweka na Picha? Mtazifuta, jitu limekatariwa hata na kwao Mimi nalitakia nini? Nitakuwa nimerogwa
 
Bado kuna nondo nzito Pole Pole hajazishusha zitashushwa siku zijazo.

Wanaulizia pesa za ujenzi wa viwanja vya ndege na ununuzi wa ndege kaidhinisha nani wakati Hansard za bunge zipo na zinaweza kupatikanahitajika.
Msilazimishe Mambo ukweli Watanzania wenye akili tumewaelewa na tunajua Nini cha kufanya oct
 
Mwaka huu mmekamatika bwashee nilikuwa kyela kijiji cha kasumulu sikuamini wale wazee wanasema magufuli akapumuzike kwa kweli yani maparachichi ndizi zetu tunapeleka sokoni kuuza tunaambiwa kitambulisho se se akapumzike kwa kweli hayo ni maneno ya kina bibi wa kasumulu kyela na uzuri nipo na tour ya kuzunguka kila mkoa na baadhi ya vijijini ki ukweli CCM safari hii msijidanganye vijijini huko mna hali mbaya sana kuliko hata Mimi nilivyo kuwa nikifikili kumbe watu walikuwa na yao moyoni

Kwa sasa naelekea sumbawanga mwimbi na mambwe nimejitolea kifanya hii kazi bila kulipwa chochote na mtu
Hata Tanzania ile ya wakati wa tume ya Jaji Warioba ,sio hii ya sasa,kwahiyo sioni ajabu yeye kubadilika kimtazamo as long as yeye sio robot kimawazo.
 
Kikubwa babu wewe Faham kuwa watanzania tumemkataaa huyo katirir wenu, Mkoa wa Mara woooote tuko pamoja no katiri wenu huyo na tutamshikisha adhabu Halafu mtakimbia kufuta Picha zenu kwenye fb si Kwa sasahivi mkitukana mnajiweka na Picha? Mtazifuta, jitu limekatariwa hata na kwao Mimi nalitakia nini? Nitakuwa nimerogwa
Katiri kwako uliyezoea kuiba, ufisadi. Watanzania wengi (asilimia 89 -95) wanamkubali na watamchagua tena. Ushindi wa kishindo.
 
Maendeleo gani unaleta Wakati anauuwa watu? Anabagua watu? Anatukana watu, anadhalilisha watu? Ameanzisha kikundi cha kigaid na kukipa jina la wasiojulikana? Hukumbuki kuwa huku tarime kilijaribu kutaka kumteka Peter zakaria kikanyoshwa? Baada Ya kunyoshwa kikajulikana kikabadili jina angani kikajiiita usalama? Chezea tarime wewe babu hata wewe ukijifanya unakuja huku tutakushikisha adhabu kenge wewe
Upo vizur kamanda big up
 
Heeee unataka aendelee kuuuwa watanzania wenzetu? Tunauchungu na watanzania wenzetu babu weweeee
Hilo suala la watu waliouwawa unalisema sana. Hebu toa mifano ndugu yetu ili tufahamu ukweli wako. Umeambiwa kuwa wale waliouwawa nanyi tumekutajia kwa mfano WANGWE na SAANANE, wewe hututajii. Hatumtaji Lissu mliyemkosakosa kwa risasi za ndege kwa nia ya kumzuia asigombee Uenyekiti huko CHADEMA; mlimpa ONYO KALI ndiyo maana alijirudi na kuomba Umakamu Mwenyekiti.

Tunayasema haya baada ya kusemwa na kuelezwa na viongozi wengi wa CHADEMA waliokuwa wakiratibu mambo haya. Kama hujui mtafute Ex- Kamanda mmoja ambaye kwa sasa yuko Njombe na kajiunga na CHAMA CHA MAPINDUZI na kaamua kusema njama zote. Lete uongo mwingine ili nasi tumwage mboga humu JF kwani tunajua mengi ila tunakuwa wastaarabu tu kwa mustakabali wa MAMA TANZANIA yrtu.
 
Hakuna wa Kumjibu Lissu CCM kwa sasa, vinginevyo ni kujichafua na kujivua nguo. CCM watulie wasijibu hoja za Lissu maana zinawaumiza sana Watanzania anavyozidadavua. Hotuba za Lissu ni kitu Black and White.. Hakuna Chenga ati... Nyeupe ni Nyeupe na Nyeusi ni Nyeusi ...
Mbona huyo Polepole amemjibu Lissu? Tehteh mamilioni ya Watanzania watamwamini Polepole kuliko Lissu.
 
Mwaka huu mmekamatika bwashee nilikuwa kyela kijiji cha kasumulu sikuamini wale wazee wanasema magufuli akapumuzike kwa kweli yani maparachichi ndizi zetu tunapeleka sokoni kuuza tunaambiwa kitambulisho se se akapumzike kwa kweli hayo ni maneno ya kina bibi wa kasumulu kyela na uzuri nipo na tour ya kuzunguka kila mkoa na baadhi ya vijijini ki ukweli CCM safari hii msijidanganye vijijini huko mna hali mbaya sana kuliko hata Mimi nilivyo kuwa nikifikili kumbe watu walikuwa na yao moyoni.

Kwa sasa naelekea sumbawanga mwimbi na mambwe nimejitolea kifanya hii kazi bila kulipwa chochote na mtu
 

Attachments

  • VID-20200925-WA0002.mp4
    4.9 MB
Hilo suala la watu waliouwawa unalisema sana. Hebu toa mifano ndugu yetu ili tufahamu ukweli wako. Umeambiwa kuwa wale waliouwawa nanyi tumekutajia kwa mfano WANGWE na SAANANE, wewe hututajii. Hatumtaji Lissu mliyemkosakosa kwa risasi za ndege kwa nia ya kumzuia asigombee Uenyekiti huko CHADEMA; mlimpa ONYO KALI ndiyo maana alijirudi na kuomba Umakamu Mwenyekiti. Tunayasema haya baada ya kusemwa na kuelezwa na viongozi wengi wa CHADEMA waliokuwa wakiratibu mambo haya. Kama hujui mtafute Ex- Kamanda mmoja ambaye kwa sasa yuko Njombe na kajiunga na CHAMA CHA MAPINDUZI na kaamua kusema njama zote. Lete uongo mwingine ili nasi tumwage mboga humu JF kwani tunajua mengi ila tunakuwa wastaarabu tu kwa mustakabali wa MAMA TANZANIA yrtu.
Kuna viongozi mmoja wa Chadema huwa anavaa Kama Savimbi mwaka 2015 alimpiga mwandishi wa habari ngumi na mateke...ile kesi nadhani ilimalizwa nje ya mahakama.
 
Kikubwa babu wewe Faham kuwa watanzania tumemkataaa huyo katirir wenu, Mkoa wa Mara woooote tuko pamoja no katiri wenu huyo na tutamshikisha adhabu Halafu mtakimbia kufuta Picha zenu kwenye fb si Kwa sasahivi mkitukana mnajiweka na Picha? Mtazifuta, jitu limekatariwa hata na kwao Mimi nalitakia nini? Nitakuwa nimerogwa
Nani katiri zaidi, yule anayeUWA, KUANGAMIZA NA KUWAPA WENZAKE ULEMAVU wa kudumu kwa hamu ya MADARAKA au nani!?
 
Mzee umeua hapo naona mazingira ya kyela kabisa maana naona michikichi upon pamoja nami mzee
 
haya wajumlishe hao 100 na 50 uone utapata kura ngapi
Sasa hao ni wa mtaaa mmoja tu Tanzania ina mitaaa mingapi? Hivi unadhani Jambo Kama lile la juzi la mgombea wa Ccm kbukoba Vijijini kufukuzwa na wananchi kwenye mkutano hivi unadhani lile ni Jambo Dogo?
 
Polepole anatupa wakati mgumu sisi tunaokipigia kampeni chama chetu Pendwa 🙁
Mmmh kadi yako ya Chadema tafadhali...yaani nyie kweli mmeshindwa propaganda...yaani wewe ni Chadema halafu unajifanya CCM kimaandishi...duh
 
Kwa taarifa yako ni kuwa wasemayo hayo hapo KASUMULU ni wahamiaji haramu kutoka nchi jirani, hata Kiswahili chao si unakisikia ni cha kuunga unga!
 
Back
Top Bottom