Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
"Pumbf" ni hoja 🤔? Nyumbu mkubwa wewe.Jibu hoja wacha ujinga pumbaf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Pumbf" ni hoja 🤔? Nyumbu mkubwa wewe.Jibu hoja wacha ujinga pumbaf
Kwa taarifa yako ni kuwa wasemayo hayo hapo KASUMULU ni wahamiaji haramu kutoka nchi jirani, hata Kiswahili chao si unakisikia ni cha kuunga unga!
Kwahiyo Hilo vazi Nani kampatiaKwa taarifa yako ni kuwa wasemayo hayo hapo KASUMULU ni wahamiaji haramu kutoka nchi jirani, hata Kiswahili chao si unakisikia ni cha kuunga unga!
Ohoooh...😂😂,ngoja nikae kimya ,nisikuharibie usingizi wako.Mwaka huu mmekamatika bwashee nilikuwa kyela kijiji cha kasumulu sikuamini wale wazee wanasema magufuli akapumuzike kwa kweli yani maparachichi ndizi zetu tunapeleka sokoni kuuza tunaambiwa kitambulisho se se akapumzike kwa kweli hayo ni maneno ya kina bibi wa kasumulu kyela na uzuri nipo na tour ya kuzunguka kila mkoa na baadhi ya vijijini ki ukweli CCM safari hii msijidanganye vijijini huko mna hali mbaya sana kuliko hata Mimi nilivyo kuwa nikifikili kumbe watu walikuwa na yao moyoni.
Kwa sasa naelekea sumbawanga mwimbi na mambwe nimejitolea kifanya hii kazi bila kulipwa chochote na mtu
Inamaanaa unauliza swali Au unajijibu? Hajamuuuwa azroy gwanda? Hajamuuwa akwirina?hajamuuwa Ben sanane? Wale aliokuwa anawatupa kule baharini ni Mbuzi zako? Wale waliouwawa kibiti ni mbuzi zako? Wale wanaopotea unadhani wanaenda wapi? Unaosikia kila Siku polisi inasema kuwa imeuwa kumi, Mara Saba Mara nane, wewe Kwa akiri yako unadhani wanaposema kuwa ni majambazi unadhani ni majambazi?Hilo suala la watu waliouwawa unalisema sana. Hebu toa mifano ndugu yetu ili tufahamu ukweli wako...
🤣🤣🤣🤣🤣 Mwaka huu lazima wajue siyo ule wa kauli mbiu elimu, elimu ,elimu huu Ni Mwaka wa Uhuru, HAKI na maendeleo ya watuMzee umeua hapo naona mazingira ya kyela kabisa maana naona michikichi upon pamoja nami mzee
Kila mwaka wa uchaguzi maneno kama ya kwako huwa yanasemwa na hakuna jipya linalotokea.Msilazimishe Mambo ukweli Watanzania wenye akili tumewaelewa na tunajua Nini cha kufanya oct
Nilimsikia Polepole akiwa na Hansard za bunge akidai Lissu amepotosha akidai ana upungufu wa kumbukumbu. Lakini amekwenda mbele zaidi kutamba kuwa siku zilizobaki CCM itaanza kuanika madudu ya wapinzani.Ngoma inogile,bado mwezi mmoja wa kugombea wapiga kura.Namsikiliza hapa,jamaa anatupa nondo kali amepangua hoja zake kwa ushahidi na kisomi sana.Sema naye kaamua kumtukana live Lissu😂.Anamuita jambazi,mnafiki,tapeli, mjinga na mtu asiyekuwa na kumbukumbu vizuri.Niliona ni Kama kamkosea heshima Ila kwa sababu alizotoa,nimekubali.
Sawa inawezekana kila Mwaka lakini so Mwaka huu kwa imani na mtazamo wangu na wewe baki na imani yako na mtazamo wakoKila mwaka wa uchaguzi maneno kama ya kwako huwa yanasemwa na hakuna jipya linalotokea.
Hebu tujuzeni, Huyu Slowslow anatika sehemu gani katika nchi yetu ya Tanzania?Polepole Afya yake pekee ni upotoshaji. Sura yake ni upotoshaji wa umri. Sijui mzee, sijui kijana.
CCM lege lege Taifa lege lege maana Kama kila kampuni kwa mwezi huu tu Kuna notice ya tangazo la punguzo kwa wafanyakazi unadhani una Taifa Bora happy?CCM imara kwa Taifa bora zaidi.
Yaani nitafufuka nirudi tena duniani kuanza maisha upya!Imagine unamkuta polepole mbinguni.
We imagine tu
Mkuu Wala Hilo lisikukatishe tamaaa twende tukapige kura tuwaoneshe Kama siyo kusaonyesha ili wajue sisi Ni washindiJambo La kusikitisha vyombo vyetu vya habari viko upande mmoja, muda wote ni ccm tu. Kiukweli haki imepotea sana...
Acha ujinga CCM haijawahi kuwa na mpiga kampeni was mfano wako.Polepole anatupa wakati mgumu sisi tunaokipigia kampeni chama chetu Pendwa 🙁
Kuna watu humu JF, wao Ni kupelekwapelekwa na huyo mgombea wa Mbowe, sisi ndo tunajua nini kinaendelea.Nilimsikia Polepole akiwa na Hansard za bunge akidai Lissu amepotosha akidai ana upungufu wa kumbukumbu. Lakini amekwenda mbele zaidi kutamba kuwa siku zilizobaki CCM itaanza kuanika madudu ya wapinzani.Ngoma inogile,bado mwezi mmoja wa kugombea wapiga kura.