Polisi Dar wazuia Mkutano wa hadhara wa Mbunge wa Kibamba, John Mnyika

Bado majaliwa anasema hakuna mbunge wala diwani aliekatazwa kufanya mikutano.
 
Mwanahabari Huru, Ungekuwa wa nabii au mtume ungeruhusiwa

Jr[emoji769]
Hata ungekuwa wa CCM ungeruhusiwa.Tuombe waruhusu Binge Live ili POLCE wawe wanasikia majibu ya Serikali wanapoulizwa kuhusu kuzuiliwa kwa mikutano ya hadhara/kisiasa.
Hali hii ikiendelea Wananchi watakosa uvumilivu na yatakayotokea watalaumiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyu Mnyika anataka kuwaambia nini wananchi wa Kimbamba (kwa mfano).
 
Kati ya taasisi za hovyo kabisa tulizo nazo, ni hili Jeshi letu. Hawajitambui wala kujielewa.
 
Kama vyama vingine haviwezi kufanya mikutano, na CCM wasifanye mikutano. Hili ndiyo liwe azimio letu wote.
 
Adui mkubwa Wa upinzanj Ni ccm Na jeshi LA polis, mbaya zaidi hawasemi hadharani
 
Kama vyama vingine haviwezi kufanya mikutano, na CCM wasifanye mikutano. Hili ndiyo liwe azimio letu wote.
Ni kweli kukiwa na milipuko mitano ya ukweli kwenye mikutano ya ccm yenye kuuwa watu let say 200 tu. Hawatakusanyika na wao.

Itakuwa ngoma draw upinzani vs ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Police au ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…