Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Waziri mkuu juzi alimwambia Mh, Mboe kama kuna kasoro ndogondogo kama hizo wawasilianenae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaposema hapa hapana unafikili nani wa kuwaonyesha pale ndyoo? Police wamekua wakitumika vibaya kisiasa..na nataka niseme kwanini elimu na miiko ya kazi zao hawazitumii???Je police mnafurahia kuasi mafunzo yenu???si kazi ya polisi kuwatafutia CHADEMA, wala chama chochote, mahala pa kufanyia mkutano
Anaruhusiwa na nani na kwa sheria ipi?Wamesahau kuwa ni alhamisi iliopita tu walijibu kuwa serekali siyo ya kibabe na haijazuia mikutano ya kisiasa kufanyika kila kiongozi anaruhusiwa kufanya katika eneo lake la uchaguzi.
Tena ungekua mkutano wa Mwamposa angeruhusiwa kumwaga mafuta yake ya alizeti hadi kwenye lami
Mihoyoni ndio mitaa ipi hapo jimboni Kibamba ?