Nani amekuambia nchi Ina haribika DJ au? Nchi inasonga wewe unalia piga kazi kiwavi Cha ufipa, usisahau kufuatilia kufuatilia hotuba ya kipenzi Cha watanzania raisi jpm
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Huwezi kufanana na Mbowe,huna impact yeyote kwenye jamii!Kwahiyo unakubali anatafuna ruzuku za chama? Nani kasema anafanana na mbowe? Usijaribu kunifananisha na muhuni tafadhali
Hakuna mpinzani anae ogopwa kama unawaza DJ anaogopwa umefeli umesahau aliomba nini kwa raisi mtu anae ogopwa ataomba maridhiano? Tuko vitani hapa mpaka tutake maridhiano? Muhuni wenu ameshasoma alama za nyakati Hana chake Tena ameshajuwa anajifia na Sacco's yake Kama kipindi kile Cha mrema pili uhuni huu wote anao ufanya mwaka huu unajua anatafuta nini? Lawama kwa vyombo vya dola na huruma kwa wanainchiKm kipenzi kwa nini mnaogopa wapinzani?
Wewe kuku hakuna Mkulima, Mfanyabiashara, mfanyakazi au mwanafunzi anaweyeza kuipigia kura ccm labda wale wakabila la gwajima....
Kwani wewe ni Joyce mbona una nilazimisha nifanane na muhuni tusivunjiane heshima tafadhaliHuwezi kufanana na Mbowe,huna impact yeyote kwenye jamii!
Hivi huoni ubovu wa unachokitetea?Hivi hichi chama kina matatizo gani? Muda wote ni kutaka kuvutana na kulumbana na serikali na vyombo vya dola bila sababu.
Taifa limetenga siku ya leo ili iwe kwa ajili ya maombi maalumu kwa ajili ya kumuomba Mungu ili taifa liepukwe na hili janga la Covid -19.
Wao kiongozi wao anasema atakuwa na press conference na waandishi wa habari tena muda ule ule ambao maombi ya kitaifa yanafanyika.
Hii inaonyesha dhahiri kuwa hawaungi mkono maombi haya na nia yao ni kulitakia mabaya taifa letu.
Nilitegemea kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nae angehudhulia maombi haya ili kuonyesha umoja na uzalendo lakini sio kuitisha press conference wakati kuna maombi yanaendelea muda ule ule.Nini hasa nia yake?
Kuwakanganya watu?
Pia alipaswa asubiri basi hata haya maombi yaishe kama mzalendo ili afanye huo mkutano wake na wana habari.
Endelea kuteseka,ila kuna watu wamezaliwa na karama!Kwani wewe ni Joyce mbona una nilazimisha nifanane na muhuni tusivunjiane heshima tafadhali
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Mbona Ummy anafanya press?, Acheni wogaMagwanda nao wanafeli wapi jamani? Mbona kuna YouTube live
Ni kweli kama ulivyo wewe na CCM ni chama cha majinga kabisa yaliyojaa upoyoyo na woga kila siku kutumia polisi si upoyoyo huoChadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kupenda kutoa matusi mitandaoni umuogope Mungu na tabia ya hovyoChadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Nilijidanganya kabila la wahaya hatuna wasenge baridi kumbe wengi tu ukimwi sie katerero sie, wa pumbavu sie yoo mawe.Chadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Pale Karimjee hakukuwa na mkusanyiko?Tulinganishe idadi ya waliokuwepo pale na waandishi waliofika kwenye Press ya KUB,wepi wanaweza kueneza Corona?Hahahahaha haya
Kuna Aya zinashushwa hapo karimjee hapa Covod19 asiposikia atakuwa na lake jambo.
Nakuelewa sana nduguPale Karimjee hakukuwa na mkusanyiko?Tulinganishe idadi ya waliokuwepo pale na waandishi waliofika kwenye Press ya KUB,wepi wanaweza kueneza Corona?
Kwa aina hii ya kuchanganya maradhi na sasa,Watanzania tukinusurika na hili janga ni upendeleo.Mambi yanayofanyika yanakinzana na sayansi huku tukishangilia kama mazuzu.
Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...
Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.
Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter
Huyu mbowe anaepewa ruzuku na serikali anaidharau,anasumbua serikli inayoweka miundombinu ili wananchi wanufaike,hajui waziri mkuu ndo mtendaji mkuu wa shughuli za serikali,hajui ndio yenye dhamana kwa wananchi kiuchumi kisiasa kijamii,Bila serikali mbowe angekuwa mkt wa chadema,ajifunze kuheshmu mamlaka,serikali inapoongea Ni sawa na baba katika nyumba akiongea wote mnasikiliza,hata shuleni hivo hivo mwl akiwa anafundisha mnakaa kimya mwelewe Sabu ndio mwenye dhamana,Mbowe jifunze kuheshimu mamlaka,nakuheshimu ila Leo hapana Corona sio siasa watu wnataka fungu la kumi lako umenunulia wananchi sanitizer ngapi,barakoa ngapi,niliwahi kuandika Siasa za Awamu hii Ni za vitendo sio porojo,mmeona jpm katulia chatto mkajua kaenda kulala noooo the man is the hard worker halali kwa ajili ya wtz Bora hata wewe unaenda club kupiga denda malayaMuda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...
Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.
Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter
Imeandikwa usimjibu mpumbavu asije akajiona anahekima. Hivyo nakaa kimya.Hivi huoni ubovu wa unachokitetea?
Ulijua Mbowe aliita waandishi wa habari ili apinge huko unakokuita "kuombea taifa", ambako wengine tunaona ni maonyesho tu kama komedi?
Na kama na yeye alikuwa anaombea taifa kwa njia hiyo je?
Huo mkutano uliofanyika Chato mbona haikuathiri chochote cha hiyo komedi?
Yale maombi ya siku tatu Mungu hakuyakubali ikabidi yaongezwe haya mengine?
Hivi huko kichwani kuna akili au matope?
Imenibidi nitumie hii lugha mbaya, potelea mbali. Shenzi kabisa.
Mkuu mimi nitoe huko pamoja na kwamba ni kabila la Gwajima! Siwezi kuipigia kura CCM hata mara moja!Km kipenzi kwa nini mnaogopa wapinzani?
Wewe kuku hakuna Mkulima, Mfanyabiashara, mfanyakazi au mwanafunzi anaweyeza kuipigia kura ccm labda wale wakabila la gwajima....
Wanataka kick...walijua watazuiwaChadema nao muda mwingine wanataka tabu, kuna Instagram Live, Facebook Live, Youtube Live, Twitter Live. Shida iko wapi, weka vitu kwa mtandao, uwakwepe watesi wako