Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe

Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe

Hebu nyie wavuta bangi wa Chadema tuacheni kwa sasa tuko busy na mapambano dhidi ya Corona. Hivi Mwenyekiti wenu alishamaliza SELF ISOLATION?
Alishamaliza mkuu sasa mwenyekiti wenu ndo yuko self Isolation chato....
 
Mkuu hata hao waliowaita hapo watumia mitandao hiyo hiyo kufikisha ujumbe. Traditional media haziwezi kutangaza huo mkutano. Wajifunze pia kwenda na wakati na kusoma mazingira.
Sikatai mkuu.
Tulishahimiza hili toka zamani mno, lakini CHADEMA hawataki na sielewi sababu zao ni zipi.

Upo uwezekano pia kuwa hii misukosuko wanayopewa viongozi wao, hata ya kuwekwa jela ikawa ni sehemu ya kufikisha taarifa kwa wananchi?
Utanisamehe sana kwa swali kama hilo!.
 
Sikatai mkuu.
Tulishahimiza hili toka zamani mno, lakini CHADEMA hawataki na sielewi sababu zao ni zipi.

Upo uwezekano pia kuwa hii misukosuko wanayopewa viongozi wao, hata ya kuwekwa jela ikawa ni sehemu ya kufikisha taarifa kwa wananchi?
Utanisamehe sana kwa swali kama hilo!.
Of course wenyewe wanasema Publicity good or bad is always good, maybe ndio maana wanatafuta headlines kama hizi. Lakini kwa hili wanachemsha, wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni responsible kuliko hawa wanaokutana Karimjee
 
Hivi hichi chama kina matatizo gani? Muda wote ni kutaka kuvutana na kulumbana na serikali na vyombo vya dola bila sababu.

Taifa limetenga siku ya leo ili iwe kwa ajili ya maombi maalumu kwa ajili ya kumuomba Mungu ili taifa liepukwe na hili janga la Covid -19.

Wao kiongozi wao anasema atakuwa na press conference na waandishi wa habari tena muda ule ule ambao maombi ya kitaifa yanafanyika.

Hii inaonyesha dhahiri kuwa hawaungi mkono maombi haya na nia yao ni kulitakia mabaya taifa letu.

Nilitegemea kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nae angehudhulia maombi haya ili kuonyesha umoja na uzalendo lakini sio kuitisha press conference wakati kuna maombi yanaendelea muda ule ule.Nini hasa nia yake?

Kuwakanganya watu?
Pia alipaswa asubiri basi hata haya maombi yaishe kama mzalendo ili afanye huo mkutano wake na wana habari.
Huu uzi sidhani kama utadumu!
 
Hawana corona na hawajawekwa karantini kama mbowe na familia yake huwezi fananisha mgonjwa Wa corona na MTU mzima Ummy,majaliwa na makonda
Umesahau kuwa haiombwi na kama unawaombea ili waipate Hilo ni juu yako! Unyanyapaa kwa ccm ni Kama ngozi ya mwili, hivyo sikushangai wewe kuendekeza unyanyapaa wenu! Hampo salama kihivyo!
 
Hasara waliyoipata wazazi wako haipimiki ! Ni vema serikali ikaruhusu utoaji mimba ili kuwaruhusu wazazi kuchagua aina ya watoto wawatakao
Wazazi wangu wanajivunia kuwa na kijana Kama Mimi ila mama yako nadhani atakuwa shupavu sana kuilea mimba ya kubakwa mpaka ukazaliwa anastahili pongezi
 
Hapo umeshakiri kakupiga gape kubwa mno!Wewe una uwezo wa kula ruzuku?Shwain kabisa,lamba viatu vya wakubwa zako upate kula,acha kujifananisha na huyo Mbowe unayemdhihaki!
Mpaka serikali inampa gari yenye hadhi kama ya mawaziri,basi ni wazi wanaujua umuhimu wake!Idiot
Kwahiyo unakubali anatafuna ruzuku za chama? Nani kasema anafanana na mbowe? Usijaribu kunifananisha na muhuni tafadhali
 
Chadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kuna jinai ipi apo?
Kuna siku nawe utabaki mifupa kumbuka...Corona hamna sasa mnaogopa nini?
 
Polisi wataruhusu mikusanyiko yote ila siyo ya chadema kisa corona ina maana mikusnyiko mingine Corona haifiki?
 
Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...

Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.

Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter

View attachment 1426407

View attachment 1426376View attachment 1426377Hawa ndugu siwaelewagi kabisa akili zao. Kucha kutwa ndo hao wanamlaumu raisi kutokutangaza lockdown ili watu watiliwe kizuizi ii kuondoa msongamano. Hao hao wanaitisha msongamano wa waandishi wa habari.​
 
Ameandika upumbavu kama mleta uzi alivyo na akili za kipumbavu.
Kila mtu ana muda wake wa kuomba Mungu na nchi hii Kuna watu hawaamini kuna Mungu.
Kwahiyo acha watu wafanye yao wewe na mumeo/mkeo ombeni shida ipo wapi?
 
Back
Top Bottom